Corosive
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 1,464
- 2,884
HeheHii ni kweli, kula sana sio afya.
Binafsi nilishawahi kaa siku nne nakunywa chai kavu na maji mengi.
Maji ni muhimu sana.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
HeheHii ni kweli, kula sana sio afya.
Binafsi nilishawahi kaa siku nne nakunywa chai kavu na maji mengi.
Maji ni muhimu sana.
Acha nibaki zangu huku Bush mamiloooHahahahaha laki naweka wese bado ya Bata
hii n kawaida sana, fatilia akina mama walokole.... wanafunga wanakunywa maji tu na juis kidogo kwa siku 21 na kazin bado wanaenda wanapiga kazi kama wanakula vileHii ni kweli, kula sana sio afya.
Binafsi nilishawahi kaa siku nne nakunywa chai kavu na maji mengi.
Maji ni muhimu sana.
Nadhani kwakuwa msosi wa siku hizi una kemikali za kutosha hata ukijibana unakula sumu,
Huyu Mzee mwaka 1550 alijiona anachoka sana, Aliangalia chakula anachokula na kukipunguza kufikia 350g na 414 mls za wine kwa siku.
Kwa hesabu za haraka haraka alikula yai moja asubuhi kama kifungua kinywa.
Kipande cha nyama, kuku au samaki saa kumi jioni kikiwa na kiazi na mboga. Ukubwa wa kopo la Coca Cola aliweka wine. Maji ni muhimu hapa kati kati.
Tunakula vyakula vingi tusivyo vihitaji. Wakati wa WWII, wanajeshi wa Magharibi waliotekwa Japan walilishwa kibakuli cha wali na kipande cha nyama kila baada ya masaa 24. Wengi waliishi mpaka kurudi makwao wakiwa wamekonda sana.
Iliwachukua zaidi ya mwezi kuzoea milo mitatu kwa siku.
Sasa haya maparachichi huku Tukuyu tumuachie nani
Ule yai moja halafu utegemeee umfikishe mkeo kileleni si kweli!
Wanawake wenyewe wa Kiswahili walivyo na matako makubwa bila lishe hutoboi!
Kulaaa msosi wa kiafrika.
Tena kula vizuri tu vyakula vya asili. Si lazima tufate wazungu. Piga ugali mchicha pilipili mixer maharage na shushia na maji kisha kafanye kazi.
Kama huna kazi ngumu chukua mkeo mshughulikie mpaka atake kukurudishia mahari akulipie yeye.
TUSIENDEKEZE SANA UZUNGU SISI NI WASWAHILI.
Sasa haya maparachichi huku Tukuyu tumuachie nani