Kumbe wake za watu nao wanajiuza?

Bukwabi

JF-Expert Member
Dec 30, 2013
3,352
1,146
Weekend iliyopita nilitoka na jamaa yangu aliyenitembelea, tukaenda sehemu moja iko busy sana jina nalihifadhi. Kuna live band, club, vyakula na vinywaji almost kila variety.

Kina dada hujichanganya sana kwenye eneo hilo. Jamaa yangu huyo ni mpenzi wa mambo yetu yale, hivyo kadri alivyokuwa akipata moja baridi ndivyo ari ya kupata kimwana mmojawapo ilivyokuwa inaongezeka.

Baadaye aliamua kumwita mhudumu amwitie kimwana aliyekuwa amevutiwa naye.

Walikwenda pembeni kidogo kujadili, baadaye jamaa yangu huyo akarudi akaniambia amekubaliana kwenda kumgegeda huyo kimwana lakini akaomba kwa vile sio mwenyeji nimpeleke lodge.

Nikampa ufunguo ili watangulie kwenye gari, baadaye nilikwenda na kuwakuta wamo ndani ya gari tayari, nilimsalimia huyo kimwana, sauti yake ikawa sio ngeni masikioni mwangu. Nilipogeuka sikuamini macho yangu kuwa ni mke wa jirani yetu mtaani. Sikuwa na la kufanya zaidi ya kumwambia jamaa yangu aje aendeshe gari mwenyewe, Nikatoa udhuru. Jamaa yangu alinipa mrejesho kapewa mambo si kawaida.

Sasa ninachojiuliza ni kuwa kumbe hata wake za watu wanajiuza?
 
Tofauti ya huyo mke wa jamaa ni ameenda sokoni kabisa lakini wako wake zetu wengi tu walioko majumbani ukiwatongoza wanakubali ila cha kwanza utapigwa mzinga wa elfu 50 ya kusuka ili mkikutana awe smart..na hii pia ni kujiuza...
 
Bado haijaingia vizuri akilini. Hakika tuko ukingoni!


Ndio ikuingie vizuri. Kila mmoja kwenye maisha Kuna maisha aliyoyachagua au angependa kuwa nayo. Kwa wanawake tangu enzi za Bibi wa Bibi yake na mama wanawake walipenda pesa. Pesa za kupewa ni tamu sana kuliko za kuzifanyia kazi. Kwa maana hiyo mwanamke kutoa "maini" then akapewa hela kwake ni sawa na kuokota.

Wapo pia wanaume wanaowaruhusu wake zao kufanya hiyo biashara. Ulimwengu huu Kuna mengi yenye kustaajabisha kama sio kushangaza.
 
Mke asipomuogopa mungu au maradhi na ukamjua huyo kugongewa ni fasta
 
Ndio ikuingie vizuri. Kila mmoja kwenye maisha Kuna maisha aliyoyachagua au angependa kuwa nayo. Kwa wanawake tangu enzi za Bibi wa Bibi yake na mama wanawake walipenda pesa. Pesa za kupewa ni tamu sana kuliko za kuzifanyia kazi. Kwa maana hiyo mwanamke kutoa "maini" then akapewa hela kwake ni sawa na kuokota.

Wapo pia wanaume wanaowaruhusu wake zao kufanya hiyo biashara. Ulimwengu huu Kuna mengi yenye kustaajabisha kama sio kushangaza.

Pole pole mkuu, wakati mwingi haya mambo hufanywa kwa kificho. Sijui tufanye nini kujiokoa? Manake ukiona kwa mwenzio ujue yaelekea kuwa huo ndio mwelekeo wa jamii!
 
Tofauti ya huyo mke wa jamaa ni ameenda sokoni kabisa lakini wako wake zetu wengi tu walioko majumbani ukiwatongoza wanakubali ila cha kwanza utapigwa mzinga wa elfu 50 ya kusuka ili mkikutana awe smart..na hii pia ni kujiuza...

Kweli kabisa
 
Weekend iliyopita nilitoka na jamaa yangu aliyenitembelea, tukaenda sehemu moja iko busy sana jina nalihifadhi. Kuna live band, club, vyakula na vinywaji almost kila variety.

Kina dada hujichanganya sana kwenye eneo hilo. Jamaa yangu huyo ni mpenzi wa mambo yetu yale, hivyo kadri alivyokuwa akipata moja baridi ndivyo ari ya kupata kimwana mmojawapo ilivyokuwa inaongezeka.

Baadaye aliamua kumwita mhudumu amwitie kimwana aliyekuwa amevutiwa naye.

Walikwenda pembeni kidogo kujadili, baadaye jamaa yangu huyo akarudi akaniambia amekubaliana kwenda kumgegeda huyo kimwana lakini akaomba kwa vile sio mwenyeji nimpeleke lodge.

Nikampa ufunguo ili watangulie kwenye gari, baadaye nilikwenda na kuwakuta wamo ndani ya gari tayari, nilimsalimia huyo kimwana, sauti yake ikawa sio ngeni masikioni mwangu. Nilipogeuka sikuamini macho yangu kuwa ni mke wa jirani yetu mtaani. Sikuwa na la kufanya zaidi ya kumwambia jamaa yangu aje aendeshe gari mwenyewe, Nikatoa udhuru. Jamaa yangu alinipa mrejesho kapewa mambo si kawaida.

Sasa ninachojiuliza ni kuwa kumbe hata wake za watu wanajiuza?
Sasa unajiuliza nini tena mkuu wakati kila kitu umekiona mwenyewe sio kwamba umehadithiwa.....................Maisha yana mwendokasi wa VAT ya 18%.
 
Sasa unajiuliza nini tena mkuu wakati kila kitu umekiona mwenyewe sio kwamba umehadithiwa.....................Maisha yana mwendokasi wa VAT ya 18%.

Kuona ndiko kunakoibua maswali, hasa ukiina usivyovitarajia!
 
Tofauti ya huyo mke wa jamaa ni ameenda sokoni kabisa lakini wako wake zetu wengi tu walioko majumbani ukiwatongoza wanakubali ila cha kwanza utapigwa mzinga wa elfu 50 ya kusuka ili mkikutana awe smart..na hii pia ni kujiuza...
Na miujiza mingine ihusuyo hela kibao
 
Weekend iliyopita nilitoka na jamaa yangu aliyenitembelea, tukaenda sehemu moja iko busy sana jina nalihifadhi. Kuna live band, club, vyakula na vinywaji almost kila variety.

Kina dada hujichanganya sana kwenye eneo hilo. Jamaa yangu huyo ni mpenzi wa mambo yetu yale, hivyo kadri alivyokuwa akipata moja baridi ndivyo ari ya kupata kimwana mmojawapo ilivyokuwa inaongezeka.

Baadaye aliamua kumwita mhudumu amwitie kimwana aliyekuwa amevutiwa naye.

Walikwenda pembeni kidogo kujadili, baadaye jamaa yangu huyo akarudi akaniambia amekubaliana kwenda kumgegeda huyo kimwana lakini akaomba kwa vile sio mwenyeji nimpeleke lodge.

Nikampa ufunguo ili watangulie kwenye gari, baadaye nilikwenda na kuwakuta wamo ndani ya gari tayari, nilimsalimia huyo kimwana, sauti yake ikawa sio ngeni masikioni mwangu. Nilipogeuka sikuamini macho yangu kuwa ni mke wa jirani yetu mtaani. Sikuwa na la kufanya zaidi ya kumwambia jamaa yangu aje aendeshe gari mwenyewe, Nikatoa udhuru. Jamaa yangu alinipa mrejesho kapewa mambo si kawaida.

Sasa ninachojiuliza ni kuwa kumbe hata wake za watu wanajiuza?
Ubusy wetu Cc wanaume na maisha magumu. Ndio tatzo kubwa
 
Yaap
wake za watu ndiyo wakwanza kujiuza hapa Dar lkn huwa wanajiuza kiaina sana
Hadi uwe MNDEWA wa Dar ndiyo utajua kama wanajiuza
Kama umetoka MKOA huwezi wajua
 

Similar Discussions

9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom