Kumbe wa-Afrika wana historia wamekataa kuliita Ziwa Victoria

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Jana nikiwa matembezini nilikutana na baba mmoja raia wa Ghana. Amekuja kwa safari binafsi Tanzania. Yeye ni mwana historia lakini Alisoma pia na political economics mwanasiasa pia.

Alinieleza kuwa safari yake Tanzania ni kama kwenda hijja. Wa Ghana wanaiheshimu Tanzania kuwa ni chimbuko la ubinadamu kwakua mtu wa kwanza kuishi ulimwenguni aliishi Oldupai George.

Anakasirika sana wazungu wanavyo potosha historia ya mtu mweusi. Aliniambia wao wamekataa kuliita Ziwa Victoria jina hilo. Wao wanaliita Lake of Africa.
 
Jana nikiwa matembezini nilikutana na baba mmoja raia wa Ghana. Amekuja kwa safari binafsi Tanzania. Yeye ni mwana historia lakini Alisoma pia na political economics mwanasiasa pia.

Alinieleza kuwa safari yake Tanzania ni kama kwenda hijja. Wa Ghana wanaiheshimu Tanzania kuwa ni chimbuko la ubinadamu kwakua mtu wa kwanza kuishi ulimwenguni aliishi Oldupai George.

Anakasirika sana wazungu wanavyo potosha historia ya mtu mweusi. Aliniambia wao wamekataa kuliita Ziwa Victoria jina hilo. Wao wanaliita Lake of Africa.
Libadilishwe jina liwe Lake Uhuru
 
Baada ya kufikisha miaka 24 ndio nikaja kujua hilo jina ni oldupai sio olduvai
yeah sio hilo tu...

kuna serengeti... ni siringet

kuna ngorongoro... hapa bado kuna mivutano.

kuna neno la kimaasai linitwa El Nkoroonkoro.. wanasema ndiyo hili.

wengine wanasema ni mlio wa kengele ya n'gombe maana inalia ngoro ngoro sehemu ikaitwa hivyo.

but kwangu inayomake sense ni el nkoronkoro maana ile aridhi imebarikiwa... na tafsiri isiyo rasmi ya neno el nkoronkoro ni zawadi ya kudumu au ya maisha.
 
Ziwa linajulikana kama Victoria kwenye ramani zote zilizopo, Kuna wakati Tanzania ilijaribu kusisitiza liitwe lake Nyanza lakini hizo juhudi hazikufanikiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom