Nilidhani ni yale ya nyimbo za taifa kugoma kupiga siku ya mechi ya kimataifa na umeme kukatika siku ya fainali tu, kumbe kuna hili liliwahi kutokea enzi za mwalimu
Nadhani teknolojia ya mawasiliano haikuwa juu kama leo. Halafu nadhani kwa kuwa ilikuwa mechi ya kirafiki mambo ya pre-match meeting hayakupewa uzito stahili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.