KAUDO
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 138
- 67
Jana baada ya kutangazwa wakuu wapya wa mikoa nilimpigia mmoja wapo(alikuwa Dc) na kumpongeza kwa kuukwaa UrC.Baada ya maongezi ya muda aliniambia alikuwa ameona jina lake likitabiliwa kwenye moja ya post za JF.Nikakumbuka kumbe hata viongozi wa Serikali ni waathilika wakubwa wa JF, yaani mambo hayaendi bila kuchungulia kama kuna post mpya.