Kumbe Vannesa Mdee ni Kipofu/Haoni

Au kuna umbea ushaanza kutoka akaona aliweke wazi
Mie niliona insta week ilopita, lulu diva alipost hivi "slay Queens wengine bhana, wanajiona wao ndo wamepatia maisha kisa kuwa huko majuu, kumbe hawana maajabu yeyote, wanafanya make up za bei mbaya bado zinagoma, afu ni vipofu."

Sasa ndo na connect kwa vee naona inakuja, ila mbona divah hana ugomvi na vee, ndo napatwa mashaka hapa.
 
Yaani kama angekuwa haoni miaka yote hiyo tungehitaji yeye aseme mwenyewe ndio tugundue?.....kwani Mtu asiyeona hatumtambui, unatuonaje aisee?.
 
Mie niliona insta week ilopita, lulu diva alipost hivi "slay Queens wengine bhana, wanajiona wao ndo wamepatia maisha kisa kuwa huko majuu, kumbe hawana maajabu yeyote, wanafanya make up za bei mbaya bado zinagoma, afu ni vipofu."

Sasa ndo na connect kwa vee naona inakuja, ila mbona divah hana ugomvi na vee, ndo napatwa mashaka hapa.
Dah ukutecalimlenga yeye. Vee hata asipofanya make up ni mzuri tu. Watu wana wivu tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom