Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,142
- 12,188
Mkuu umenitukana bure ujue!Watu kwa vitisho hamjambo laana gani aibebe amekwambia yeye anaamini dini?
Je kama ni atheist utasema nini shenzy kabisa ashasema ni mbaya habari za maulana na laana ni zako wewe na nduguzo
Katika maelezo yangu niliweka viwanja vitatu vya ufahamu, niligusia sehemu zote ambazo wewe uliyodhani sikuzigusa.
Hapo nilitaja dini, nikataja sayansi na pia utu.
Kama yeye huyo jamaa unayemtetea ni pagani, hawezi kusema umbo fulani baya, wakati sura yake kwa watu wengine wanamuona kama kenge mmoja.
Haujasikia wazungu wanakuita wewe ni sokwe? Je unafurahishwa na kauli hiyo?
Dunia iache iitwe dunia, sababu huwachagulia binadamu sura za kuwavisha.
Ni vyema tukastahimiliana maumbile yetu tuliyoshitukia tu tunayo.
Uwe na dini usiwe na dini lakini wewe ni binadamu, bagua maneno ya kuwatamkia wengine.