Kumbe USA walianza na nyumba za Tembe pia?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,782
Hii ni Phoenix, Arizona mwaka 1870, leo hii ni Makumbusho, ...

1595397742494.png
 
Marekani ni miongoni mwa mataifa machache ambayo hayakupita kwenye PRIMITIVE STAGE .
 
Hakuna camera inayo weza toa picha ya rangi kama hii kwa miaka 1800 hadi 90..
Unachoongea unakijua kiukweli au unabahatisha? Kasome tena evolution ya Camera. Hapa chini nimekuwekea picha ya Abraham Lincoln aliyopigwa 1865 na hilo eneo kweli ni Marekani na ni kweli Phoenix Arizona.
4bc069aba4c0d745fa6786b81eb3c7bd.jpg

1865
JamiiForums385777070.jpg
Screenshot_20200722-104352.jpg

Phoenix, Arizona 1870
 
Aise kumbe tumetoka mbali...

Naona waliiba design ya nyumba kutoka kwa wagogo....
Au wagogo ndio waliiba design...
 
Kwamba hata hizi nyumba za tembe tulidesa?
Na zenyewe ni wao ndio walituletea?

Nimeona kuna wanaosema wakati huo hapakua na kamera za kutoa picha za ubora huo, wakumbuke hiyo nyumba ipo eneo la makumbusho inamaana itaendelea kuba hivyo kwa miaka kadhaa ijayo.

Hiyo picha inawezakuwa imepigwa hivi karibuni.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom