Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,068
- 30,918
Acha tuuuuuu...Weeeh kubembelezwa raha jamani!
Acha tuuuuuu...Weeeh kubembelezwa raha jamani!
Napenda vyote mdogo wangu..Unapenda au unapendwa,
Hivi vitu vinaishiImenishangaza kuona kitu nilichojadili na mtu wangu wiki ilopita nanyi mlipata kukizungumzia wiki hiyohiyo, Yuko mbali hivyo nikawa namwambia watu wapo wengi tu wamenizunguka ila bado najihisi mpweke sana
Mshana bado sikuelewi,tuletee somo kabisa.Hata mochwari kuna maisha na makaburini pia.. Kuna mishe tu kama huku duniani... Na ukiwa na upweke pia
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
naomba niseme wazi na bila kificho hili bandiko ni kwa ushauri wa kakaangu Gwappo Mwakatobe ...! Last week tulikuwa na mjadala na katikati ya mkadala wetu akasema hivi nanukuu ...unajua Mshana unaweza kuwa mpweke katikati ya kundi la watu..!
Nilishikwa na ganzi kwa sekunde kadha.. Nikamwambia brother umeongea kitu kikubwa sana.. Na nitakiandikia mada kamili!
Tunaishi katikati ya upweke.. Haijalishi wewe ni nani na una nini.. Upweke upo hata kwa dakika chache
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Tafsiri yake ilikuwa pana sana...Miaka ya nyuma iliyopita i.e 25+ yrs back, bibi yetu alikuwa anatuamba watu wote wamekufa. Tulikuwa hatumuelewi. Lkn siku zinavyoenda naanza kumuelewa, licha ya kuwa yeye alitangulia mbele ya haki.
Aamen mtaniMtani ubarikiwe sana somo nila ndani sana kiimani, kwa amachoya kawaida hutaliewa,ila ukirudia kulisoma taratibu basi ni lishe bora sana kwa akili zetu,Mshana ubarikiwe sana.
Mungu atutie nguvu na kuzidi kutupa hekima ya kuponya maumivu mengi na kufuta machozi ya wengiHakika kweli ukisimama na Mungu hata zile nyakati ambazo unaona mwisho kbisa Mungu hufanya wepesi
Ila jamani upweke Mungu atuondoshee kuna nykati unakua mpweke hadi huelewi maana unaona upweke ulionao unaweza kuamia hadi kwenye kizazi chako. Hii mada daaah
Shukran
Pia unaweza kuwa single huku ukiwa kwenye ndoa
Ohhhhhhhh upweke unauma, Ohhhhh upweke unauma, Mama yupo wapi Baba yupo wapi?? Wameenda mbali eeehhhh. In Anko T voice.Upweke unauma , upweke unaumaa!
Tutaongelea hiliYaaani.....
Mimi sasa nahisi huwa inakuwa shida zaidi maana nakuwaga ni visa
Sasa ili nisiendelee kukwazika au kuwakwaza watu naweza kushida chumbani siyo ndani.. ni chumbani siku nzima na zaidi. Hapo hata hewa ya nje siijui...
Kuna mtu siku moja nilimuuliza akaniambia Wanawake karibia wote huwa mna hiyo hali.. Pale tunapokaribia kwenye yale mambo yetu..
Nikamjibu Mimi mbona hata nikiwa sipo karibu au kutoka hiyo hali inakuja tu.. hakunipa jibu lililonirudhisha..
Kweli kabisaMshana Jr
Hii Issue ya kuwa mpweke inaweza kuendana na ile hali ya kuwa "Off mood."
Maana mimi Binafsi kuna hali naweza kuwa nayo kwa wakati fulani.. Naweza kuwa sitaki tu usumbufu wa kitu chochote hata mtu kunisemesha sitaki..
Sasa hii Tunaiitaje?
Asante sana mkuuMshana toka nianze kusoma mada zako huwa ni fikirishi. Hongera sana na endelea kutupatia madini.
Nipo hapa mtani wangu niambieMkinionea Mshana Jr mwambieni namtafuta
Umeongea kitu kizuri sana mshana ,upweke ni kitu hatari sana kwa kuzuia hilo najichanganya na marafik kwa kuongea vitu navyopitia hii hufanya mwili kuwa huru tena.