Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Alcohol ni Alcohol tuSi afadhali mnywa mbege kuliko mnywa bia na mnywa pombe kali kama vile konyagi, whiskey, gongo, moonshine, na pombe nyinginezo kali.
Alcohol ni Alcohol tuSi afadhali mnywa mbege kuliko mnywa bia na mnywa pombe kali kama vile konyagi, whiskey, gongo, moonshine, na pombe nyinginezo kali.
Mungu anazidi kuwavua nguo hao wabaya wa mageuziKinachochekesha zaidi alizosimama zote 2 zimepishina, pia alizokaa zote 2 zimepishana.
Inshort saini zote 4 zimepishana kabisa, hizi ni saini ni za kina kingai na mahita walisaini wenyewe.
Usishangae ukiambiwa alikesha anafundishwa hilo jinaShahidi muuza mbege amekariri serial number ya Bastola lakini halijui jina la mfanyabiashara mwenzake jirani waliyepakana naye.
Hayo yote yamepangwa na mwenyezi Mungu ili jambo litimieIla shahidi kuijua namba za bunduki toka 2020 hadi leo linatia mashaka sana.
Miaka yake ndo kituko 1979 eti ni miaka 45
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa leo imekuwaje mbona katinga kwa pilato?Shahidi akiwa na mning'inio wa pombe ikiwamo mbege hafai kabisa kutoa ushahidi akiwa chini ya kiapo mahakamani.
Wacha mvua inyeshe ili tuone panapovujaHuyu Shahidi kiazi sana, anatuona sisi wote wajinga, hivi waandaji wa hii movie walishindwa kumkaririsha saini zake.
Kuna vitu unafanya maishani inakuwa laana kwa kizazi chako chote, mali, elimu, heshima vinabaki historia...
Laana inakutafuna wewe mpaka na wajukuu zako, mtaani wanabaki wakisikia tu baba yao alikuwaga mwanasheria mkubwa sana.
Unakomaa kabisa kumuangamiza mtu kisa pesa...
Karma ipo, vitu vingine vibaya na mikosi maishani chanzo ni wewe, unaanza kutafuta waganga.
I guarantee you mungu ni mkubwa na mamlaka zote duniani kwake si kitu.
Mkuu Mmawia, umefanya marejeo juu ya mwenendo wa shauri lililopo mahakamani kwa maswali yenye "legal technicalities" kwa shahidi huyu kwa siku ya leo!?Sasa leo imekuwaje mbona katinga kwa pilato?
Shukrani nyingi ziende kwa mawakili upande wa utetezi maana wao wanawakilisha upande wa watu wasiyo na maamuzi.Mkuu Mmawia, umefanya marejeo juu ya mwenendo wa shauri lililopo mahakamani kwa maswali yenye "legal technicalities" kwa shahidi huyu kwa siku ya leo!?
Shahidi anaonyesha kuwa ni wa kupikwa na mwenye kujikanyaga kutokana na maswali yenye mitego mingi yaliyoelekezwa kwake. Ameonyesha udhaifu mkubwa kutokana na utambuzi wa vitu kupitia 'legal facts" kutoka kwa mawakili wa upande wa utetezi.
Umepatia kwa 100%. Polisi waliandika wenyewe na kusaini wenyewe. Hata dole gumba Polisi huwa wanaweka kichwa cha Uume kufoji dole gumba la mtu.Kinachochekesha zaidi alizosimama zote 2 zimepishina, pia alizokaa zote 2 zimepishana.
Inshort saini zote 4 zimepishana kabisa, hizi ni saini ni za kina kingai na mahita walisaini wenyewe.
KhaaaUmepatia kwa 100%. Polisi waliandika wenyewe na kusaini wenyewe. Hata dole gumba Polisi huwa wanaweka kichwa cha Uume kufoji dole gumba la mtu.
Mi nimejaribu saini zangu zimefanana, natudia tena huyo shahidi ni chakula ya jumanneNimefanya jaribio mara tatu lakini naona saini yangu ni ile ile iwe nasaini nikiwa nimesimama au nikiwa nimekaa.
Makamanda hebu na nyie jaribuni halafu mnipe mrejesho.
Maendeleo hayana vyama!
Ulijiandaa kiakili, kifkra, na Ki- Psychology. Ama sivyo matokeo yangekuwa tofauti. Comfortability matters when it comes writing exercise.Nimefanya jaribio mara tatu lakini naona saini yangu ni ile ile iwe nasaini nikiwa nimesimama au nikiwa nimekaa.
Makamanda hebu na nyie jaribuni halafu mnipe mrejesho.
Maendeleo hayana vyama!
Walevi hawayumbi akili au sioHahahaaaa....... Walevi hawakoseagi kusaini bwashee!