Elections 2010 Kumbe ukweli ndio huuuuu, ...........................

GeniusBrain

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
4,315
306
Baada ya Hitimisho la leo la kuapishwa kwa Rais aliyeshinda kwenye uchaguzi Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE ( Japokuwa mgombea wa Cahama fulani hakutokea eti amesusa, ila wenzake wala yeye akisusa) , kinacho fuatia sasa ni kuchagua baraza makini la mawaziri. Na kwa vile mpaka sasa CCM ina jumla ya wabunge 186 wa kuchaguliwa ( ukiacha wale wa viti maalum) itakuwa na hazina kubwa ya kuchagua baraza bora. Tunamuombea Rais wetu afya njema aweze kulitumikia Taifa, kwani ridhaa aliyopewa na watanzania ya ushindi wa kishindo wa 61.17% (wengine wanauita USHINDI WA SUNAMI). Uchaguzi umekwisha, tusonge mbele na tugange yajayo.
 
ushindi wa kuiba kura za slaa,ushindi wa kuingia madarakani kutafuna mali ya uamma
 
Kama 61 ni ushindi wa TSUNAMI then ule wa 80% 2005 utaitwaje?
Makamba ana mengi ya kujibu mwaka huu na kashfa zake za wapinzani has Dr kumwita santuri mpya
 
61.17 Ushindi wa TSUMANI! You looser dare to call it that. Hakuna aibu ka ya mwaka huu. Unasonga mbele wewe ama warudi kinyumenyume? Nasikia mmechakachua hata wale mgambo wenu pale uwanjani na wana ugonjwa ka wa kiongozi wenu. Usiniulize ugonjwa gani si mnaujuaa!
 
61.17 Ushindi wa TSUMANI! You looser dare to call it that. Hakuna aibu ka ya mwaka huu. Unasonga mbele wewe ama warudi kinyumenyume? Nasikia mmechakachua hata wale mgambo wenu pale uwanjani na wana ugonjwa ka wa kiongozi wenu. Usiniulize ugonjwa gani si mnaujuaa!


the losers forever,ila mwisho wao upo we waache wajishaue na ivo vijikura vya kuchakachua vitawatokea puani
 
ushindi wa kuiba kura za slaa,ushindi wa kuingia madarakani kutafuna mali ya uamma

Hiyo dhana tu hakuna ukweli wowote, Slaa kura zake hazikutosha akijenge chama chake mpaka vijijini kwanza wamkubali. Hakuna anae tafuna mali ya umma ila tunautumikia umma wa Tz walio tupa ridhaa ya kuongoza kwa kipindi kingine cha 2010-2015 kwa ushindi wa SUNAMI.
 
Baada ya Hitimisho la leo la kuapishwa kwa Rais aliyeshinda kwenye uchaguzi Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE ( Japokuwa mgombea wa Cahama fulani hakutokea eti amesusa, ila wenzake wala yeye akisusa) , kinacho fuatia sasa ni kuchagua baraza makini la mawaziri. Na kwa vile mpaka sasa CCM ina jumla ya wabunge 186 wa kuchaguliwa ( ukiacha wale wa viti maalum) itakuwa na hazina kubwa ya kuchagua baraza bora. Tunamuombea Rais wetu afya njema aweze kulitumikia Taifa, kwani ridhaa aliyopewa na watanzania ya ushindi wa kishindo wa 61.17% (wengine wanauita USHINDI WA SUNAMI). Uchaguzi umekwisha, tusonge mbele na tugange yajayo.
Awamu iliyopita alikuwa na wabunge zaidi ya 200! Lakini baraza la mawaziri alilochagua wote tuliliona wewe mwenyewe shahidi, lilijaa vituka, kashfa, ufisadi na kila aina ya matatizo. Kama tunaweza kupata watu makini wa kuiongoza Tanzania awamu hii itakuwa ni neema ya Mungu na wala usihusishe suala hilo na ushindi unaouita wa 'kishindo' (61.17%) wakati hata Kinana aliamua kuuita 'ushindi mzuri' maana walitegemea ushindi wa >85.26%...

Tumwombe Mungu atusaidie!
 
the losers forever,ila mwisho wao upo we waache wajishaue na ivo vijikura vya kuchakachua vitawatokea puani

Ha ha ahaaaa, na sie ndio tumeamka upyaaaa na 2015 , tunawagaragaza tena hivyo hivyo tu kwenye kila uchaguzi . Tunasheherekea bwana kwa USHINDI WA SUNAMI, mlidhani kushida dola mchezo, yanahitajika maandalizi mzee sio kitu cha mchezo kuwa rais.
 
Awamu iliyopita alikuwa na wabunge zaidi ya 200! Lakini baraza la mawaziri alilochagua wote tuliliona wewe mwenyewe shahidi, lilijaa vituka, kashfa, ufisadi na kila aina ya matatizo. Kama tunaweza kupata watu makini wa kuiongoza Tanzania awamu hii itakuwa ni neema ya Mungu na wala usihusishe suala hilo na ushindi unaouita wa 'kishindo' (61.17%) wakati hata Kinana aliamua kuuita 'ushindi mzuri' maana walitegemea ushindi wa >85.26%...

Tumwombe Mungu atusaidie!

Yeye mwenyewe JK kwenye hotuba yake leo amewapongeza wananchi kwa kumpa USHINDI WA KISHINDO, au hukuisikia mzee?. Na anasema leo ni rasha rasha tu hotuba kamili ni siku atakapo lifungua bunge.
 
Baada ya Hitimisho la leo la kuapishwa kwa Rais aliyeshinda kwenye uchaguzi Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE ( Japokuwa mgombea wa Cahama fulani hakutokea eti amesusa, ila wenzake wala yeye akisusa) , kinacho fuatia sasa ni kuchagua baraza makini la mawaziri. Na kwa vile mpaka sasa CCM ina jumla ya wabunge 186 wa kuchaguliwa ( ukiacha wale wa viti maalum) itakuwa na hazina kubwa ya kuchagua baraza bora. Tunamuombea Rais wetu afya njema aweze kulitumikia Taifa, kwani ridhaa aliyopewa na watanzania ya ushindi wa kishindo wa 61.17% (wengine wanauita USHINDI WA SUNAMI). Uchaguzi umekwisha, tusonge mbele na tugange yajayo.

We m@@2#nge

 
Baada ya Hitimisho la leo la kuapishwa kwa Rais aliyeshinda kwenye uchaguzi Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE ( Japokuwa mgombea wa Cahama fulani hakutokea eti amesusa, ila wenzake wala yeye akisusa) , kinacho fuatia sasa ni kuchagua baraza makini la mawaziri. Na kwa vile mpaka sasa CCM ina jumla ya wabunge 186 wa kuchaguliwa ( ukiacha wale wa viti maalum) itakuwa na hazina kubwa ya kuchagua baraza bora. Tunamuombea Rais wetu afya njema aweze kulitumikia Taifa, kwani ridhaa aliyopewa na watanzania ya ushindi wa kishindo wa 61.17% (wengine wanauita USHINDI WA SUNAMI). Uchaguzi umekwisha, tusonge mbele na tugange yajayo.


Aache kuanguka hovyo majukwaani, mwambie apunguze ngono maana afya yake mgogoro.
Vilevile apunguze safari za nje kwenda kubadilisha damu kwa kodi za watanzania.
 
Kama 61 ni ushindi wa TSUNAMI then ule wa 80% 2005 utaitwaje?
Makamba ana mengi ya kujibu mwaka huu na kashfa zake za wapinzani has Dr kumwita santuri mpya

Najua sana haya maneno ya SUNAMI au KISHINDO slaa hapendi sana kuyasikia masikioni mwake na wapenzi wake, ila ndio maneno halisi ya kusema bana
 
Yeye mwenyewe JK kwenye hotuba yake leo amewapongeza wananchi kwa kumpa USHINDI WA KISHINDO, au hukuisikia mzee?. Na anasema leo ni rasha rasha tu hotuba kamili ni siku atakapo lifungua bunge.

Nawashangaa wanaopoteza muda kujibizana na limbukeni wa CCM/Mafisadi!!!! Yaani huna hata aibu!!!

Tiba
 
Baada ya Hitimisho la leo la kuapishwa kwa Rais aliyeshinda kwenye uchaguzi Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE ( Japokuwa mgombea wa Cahama fulani hakutokea eti amesusa, ila wenzake wala yeye akisusa) , kinacho fuatia sasa ni kuchagua baraza makini la mawaziri. Na kwa vile mpaka sasa CCM ina jumla ya wabunge 186 wa kuchaguliwa ( ukiacha wale wa viti maalum) itakuwa na hazina kubwa ya kuchagua baraza bora. Tunamuombea Rais wetu afya njema aweze kulitumikia Taifa, kwani ridhaa aliyopewa na watanzania ya ushindi wa kishindo wa 61.17% (wengine wanauita USHINDI WA SUNAMI). Uchaguzi umekwisha, tusonge mbele na tugange yajayo.
wala siyo wa kishindo kwa taarifa yako imani ya wananchi kwake imepugua toka 80% mpaka 61%. watu hatuna imani naye kama 2005.
 
Baada ya Hitimisho la leo la kuapishwa kwa Rais aliyeshinda kwenye uchaguzi Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE ( Japokuwa mgombea wa Cahama fulani hakutokea eti amesusa, ila wenzake wala yeye akisusa) , kinacho fuatia sasa ni kuchagua baraza makini la mawaziri. Na kwa vile mpaka sasa CCM ina jumla ya wabunge 186 wa kuchaguliwa ( ukiacha wale wa viti maalum) itakuwa na hazina kubwa ya kuchagua baraza bora. Tunamuombea Rais wetu afya njema aweze kulitumikia Taifa, kwani ridhaa aliyopewa na watanzania ya ushindi wa kishindo wa 61.17% (wengine wanauita USHINDI WA SUNAMI). Uchaguzi umekwisha, tusonge mbele na tugange yajayo.

Useless great thinker!!!!! mvyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom