Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
Katika pita pita zangu nikakutana na hotuba hii ya Rais wa Tanzania Mwl Julius Nyerere; utangulizi wake unasema hivi (msisitizo mweusi wangu):
Hotuba yenyewe ilianza hivi:
Kutoka (J.K. Nyerere, Freedom and Development, 192;1973)
Sasa, kwa mwanga huu na uelewa huu kuwa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam kama tunavyokijua sasa kilianza rasmi Augusti 29, 1970.. kwanini tunasherehekea miaka 50 wakati University College of Dar-es-Salaam (kilichoanza Juni 1961) kilidumu kwa chini ya miaka kumi tu? Labda nimekosea, tungemuuliza leo Baba wa Taifa UDSM ilianza lini rasmi kweli angesema ni 1961? Hadi historia tunachakachua?
In the presence of a very large crowd of workers and peastants, as well as staff and students, the University was inaugurated on 29 August 1970, at a colourful open air ceremony on the University campus about eight miles from the centre of Dar-es-Salaam. The President, speaking as Chancellor of the University, used the opportunity to discuss the function of a university and the meaning of the relevance which was frequently demanded of it.
Hotuba yenyewe ilianza hivi:
It is with great pleasure that I have come to this campus today to preside over the formal inauguration of the University of Dar-es-Salaam. On the good foundation built by the University College of Dar-es-Salaam, which was a constituent part of the University of East Africa, we are now embarking upon our independent existence as a University.
This is therefore, an occasion for rejoicing. It is also an occasion which calls for re-dedication and renewed endeavor by all those involved. For it is now our responsibility to shape this institution so that it gives the maximum service to the people of Tanzania and their socialist objectives.
To do this effectively, however, it is first necessary that we should be clear in our own minds about the function of a university in the modern world, and about the particular tasks of the first university in Tanzania....
Kutoka (J.K. Nyerere, Freedom and Development, 192;1973)
Sasa, kwa mwanga huu na uelewa huu kuwa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam kama tunavyokijua sasa kilianza rasmi Augusti 29, 1970.. kwanini tunasherehekea miaka 50 wakati University College of Dar-es-Salaam (kilichoanza Juni 1961) kilidumu kwa chini ya miaka kumi tu? Labda nimekosea, tungemuuliza leo Baba wa Taifa UDSM ilianza lini rasmi kweli angesema ni 1961? Hadi historia tunachakachua?