Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,844
- 3,129
SSH amerithi kila kitu kutoka awamu ya 5 kuanzia Baraza la Mawaziri, Bunge, na vyote vinavyounda serikali kisha kufanya marekebisho kidogo baada ya urithi huo.
Nadhani lengo la kuita awamu ya 6 ilikuwa kuweka kwa makusudi mstari unaotenganisha mambo yaliyofanyika na mtangulizi wake pamoja na atakayofanya yeye ili kuji'brand' zaidi.
Nadhani lengo la kuita awamu ya 6 ilikuwa kuweka kwa makusudi mstari unaotenganisha mambo yaliyofanyika na mtangulizi wake pamoja na atakayofanya yeye ili kuji'brand' zaidi.