MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Hongereni kwa Ubunifu huo wa Kinafiki wakati nanyi pia mlikuwa ni sehemu ya yaliyokuwa Maamuzi ya Hayati huku mkisimama Hadharani Kuyapongeza na Kuyaunga mkono, ila leo baada ya Kumhifadhi Milele Kanda ya Ziwa mmembadilikia ghafla.
Sasa KEROZENE nasubiri zangu kwa hamu mkubali na Pesa za hao hao Mabeberu mnaowakumbatia ili mruhusu na Ushoga na kwa haraka sana Soko la Yule Golikipa wa Klabu Moja kubwa na Kongwe Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kati ( nimemsahau Jina ) liwe juu na Wapatikane na wengine wengi kutokea Mashuleni, Vyuo Vikuu na mpaka Maofisini pia.
Kwa Dhambi hii ya Unafiki sitowapenda.
Sasa KEROZENE nasubiri zangu kwa hamu mkubali na Pesa za hao hao Mabeberu mnaowakumbatia ili mruhusu na Ushoga na kwa haraka sana Soko la Yule Golikipa wa Klabu Moja kubwa na Kongwe Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kati ( nimemsahau Jina ) liwe juu na Wapatikane na wengine wengi kutokea Mashuleni, Vyuo Vikuu na mpaka Maofisini pia.
Kwa Dhambi hii ya Unafiki sitowapenda.