KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Ukistaajabu ya Mussa utashangaa ya Firauni Kumbe kujigamba kote kwa serikali kwamba imesitisha mkataba na RITES TRL kumbe ilikuwa danganya toto!!Wahindi wana peta kama kawa hakuna kilichositishwa waondo wana manage kampuni kama mwanzo!!Serikali hii sirikali!!:angry: