TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Mimi sijasema hivyo ,mimi nimeuliza tu!!!saut c ya mwisho au?
Mimi sijasema hivyo ,mimi nimeuliza tu!!!saut c ya mwisho au?
we mgomvi!!Mimi sijasema hivyo ,mimi nimeuliza tu!!!
we mgomvi!!kwa nin ukauliza hvo sasa?Mimi sijasema hivyo ,mimi nimeuliza tu!!!
Hapana mkuu ni swali la kawaida tu!!we mgomvi!!
Nilikuwa nataka majibu ambayo yangetuongoza au kutupa mwanga katika hii mada tunayoijadili!!we mgomvi!!kwa nin ukauliza hvo sasa?
Kaka UDSM imebakia jina 2, SAUT ni chuo kichanga bt ktk quality ya education wanatoa elimu bora zaidi uki linganisha na UDSM japo kimeanza zamani, 2nahtaji quality not jina au ukongwe wa chuo.Senetor;sasa mkuu hata hii udsm ya leo unataka kuifananisha na chuo cha kipuuzi kama saut?Senetor, kama umesoma hujastarabika. Kwako wewe Saut ni chuo cha Kipuuzi? Kama umesoma UDSM, na chenyewe hakikuwa hivyo kilipo katika umri wa SAUT. Kwa hiyo wewe unajiona ni bora zaidi ya wale waliosoma vyuo vingine tofauti na UDSM? Jiangalie maisha yako, na utendaji kazi wako, je ni bora zaidi ya hao waliyosoma vyuo vingine? Acha kubeza SAUT ndugu, sema ni chuo kidogo bado kinakuwa.
sasa hata UDOM pia unaizungumzia....yeboyeboNimegundua kwamba UDOM ni maarufu na iko juu kwa sasa ndio maana hamchoki kuizungumzia.
sure i concur with you guy, you are a real great thinker. Kuna hali ya inborn capacities ambazo wakati mwingine haziwezi fifishwa na aina ya shule au chuo mtu atakaposoma.nadhani kuna issue ya 'mtu' na 'chuo'. hao uliowataja hata kama wangesoma chuo gani still wangepafom tu.
Duh!hivi saut wamefanya research ngap vile?
Kwa kweli hiyo ni kasumba, eti SAUT wamefanya research ngapi. Maoni ya mdau juu ya ubora wa waahitimu wake ni katika kujenga hoja kwa wananchi na wakawapa ridhaa ya kuwaongoza na pia katika michango yao bungeni. Sasa Senator anakuja na idadi ya research zilizofanywa na SAUT which sounds a fallacy by the way.
tatizo lako ufikirii, nadhani lishasemwa itafute elimu hata uchina....uchina haina maana uchina, ila mahali popote , na kwa yeyoteSAUT = ROMAN CATHOLIC Why Upinzani tu?
UDOM...wanajisifia mtaani tu
Vyuo vikuu vya umma vina changamoto kubwa manake walimu wazuri wengi wanakimbilia vyuo binafsi, lakini hili linasababishwa na serikali kutokuwajali watumishi wake..
yule aliyetimuliwa udsm kipind kile au yuph huyo?Mfano Prof Baregu