Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.

Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.

Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.

Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya

Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.

Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.

Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.

RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.

Paskali

Kuna kitu Uongo ktk taarifa hizo. Hainijii akilini zimepita siku kazaa ndio mseme, Ina maana madokta walikuwa wanachunguza maiti ndipo wajue ugonjwa uliomuua¡!!!!!!!!!
 
Bhasi wengi wanalazimisha ni Covid...!! Kama hufikirii ni Covid then Hiyo Cardiac Arrest ni sawa kabisa maana yule mzee kwa umri wake na Mwili waie bhasi cardiac arrest na vitu kama Stroke ni kawaida sanaa
Yap...na hapo ndio kwenye msingi wa utata ninaouna. Kwa umri wake hilo lilipaswa kutegemewa kila anapokuwa hajisikii vizuri kwa sababu yoyote ile. Wahusika walifanya inavyostahili? Ndio sababu wengine, hata tunauliza amefia hospitali gani?
 
Yap...na hapo ndio kwenye msingi wa utata ninaouna. Kwa umri wake hilo lilipaswa kutegemewa kila anapokuwa hajisikii vizuri kwa sababu yoyote ile. Wahusika walifanya inavyostahili? Ndio sababu wengine, hata tunauliza amefia hospitali gani?
Wanadai alilazwa sababu ya Malaria so cardiac arrest imempitia usiku...!! Mtu alazwi sababu ya cardiac arrest ile inakupigaa na kukukaushaa chap hakuna cha CPR wala dawaa...
 
Kuna kitu Uongo ktk taarifa hizo. Hainijii akilini zimepita siku kazaa ndio mseme, Ina maana madokta walikuwa wanachunguza maiti ndipo wajue ugonjwa uliomuua¡!!!!!!!!!
Yule ni Mtu mkubwa usidhani kama sisi raia wengine unaenda hosp Dr anaandika report ya kifo kwa kupachika ugonjwaa tu japo wanakuwa sahihi lakini hayo hawezi fanyiwa Mkapa mzeee...!!
 
Msemaji anasema Rais Mkapa kafia kwenye Kiti ghafla. JK anasema aliugua na alipata lisaa lizima kuongea nae kabla ya umauti. UTATA!
Utata uko wapi kijana??? Kikwete alikwenda akaongea naye kabla ya kifo chake siku ya pili unataka kusema nini??? Kuna utata gani hapo?? Msishabikie mambo ya hovyo. Raisi wetu mstaafu ametutoka tumuombe Allah ampe makazi mazuri huko aendako basi.
 
Inasikitisha Sana watu wanasua Sua kwenda kuaga ..:. Sijui upendo na Umoja wetu Uko wapi ..:.
Siku za karibuni hatufanyi mambo kitaifa iwe sherehe au misiba

We need National Ünity .... mambo ya kuanzia kupazimisha watu kuaga hayakua utamaduni wetu ... utaona hata Timu ya Taifa ikifungwa watu hufurahi
 
Inasikitisha Sana watu wanasua Sua kwenda kuaga ..:. Sijui upendo na Umoja wetu Uko wapi ..:.
Siku za karibuni hatufanyi mambo kitaifa iwe sherehe au misiba

We need National Ünity .... mambo ya kuanzia kupazimisha watu kuaga hayakua utamaduni wetu ... utaona hata Timu ya Taifa ikifungwa watu hufurahi
CCM ndio imelifikisha hili taifa hapa. Siasa zimekuwa za chuki Sana. Mimi sina chama.
 
Cardiac arrest inaweza kukitokea wakati wowote. Mahali popote.
Hivi cardiac arrest huwa mgonjwa analazwa hospitali, anapiga stori na wanaomtembelea wee ndipo inamuua? Hapa kuna walakini. Itoshe tu kusema RIP Mkapa. Mambo mengine wanafamilia waendelee kuyafanya siri yao, wasiingie kwenye mtego wa kutuliza uvumi unaoendelea.
 
Mkuu SMU
Nimefuatilia sana maelezo kuna 'gap''. Leo msaidizi wake bwana Makocha amesema aliongea naye dakika45 kabla ya mauti. Kama ilivyo kwa wengine hakusema Hospitali gani. Swali, hivi jina la Hospitali ni 'privacy' pia hasa tukijua Mkapa ni public figure

Pili, sheria walizotunga wenyewe zinawataka watoe taarifa kwa utaratibu waliojiwekea ambao sasa hawataki kuutumia. Kuna swali, nini kinafichwa hadi wakiuke sheria zao wenyewe kuhusu misiba ya viongozi?

Tatu, watu wanazungumzia vitu kwa kubahatisha. Mkuu Kichuguu amekomalia malaria. Sasa kuna uhusiano gani kati ya cardiac arrest na malaria?

Nne, watu wanachanganya mambo. Cardiac arrest kwa ''lugha ta mtaani ili watu waelewe'' ni sawa na kusema
Mtu fulani amekuwa arrested na Polisi(msicheke, ni katika kutafuta njia za kuleweshana).
Sasa ni kwasababu gani hilo ni jambo tofauti, inaweza kuwa kabaka, mwizi wa kalamu, mhujumu, msaliti n.k

Kwa upande wa moyo, cardiac arrest haina maana kifo.
Unaweza kupata na kuwa resuscitated na kupona.Inategeme ukubwa na ukali wa hiyo cardiac arrest.

Hivyo kwamba chanzo cha kifo ni cardiac arrest kunajenga wasi wasi zaidi kwasababu hakuna ugonjwa unaoitwa cardiac arrest, lakini cardiac arrest ni matokeo ya tatizo fulani.

JK kasema ameongea naye akiwa na maumivu na msaidizi wake kasema ameongea naye dk 45 kabla ya kifo.

Hii maana yake ni kuwa kulikuwa na tatizo linamsumbua mzee na lilimpa maumivu kwa mujibu wa JK
Kama tatizo hilo lililpelekea cardiac arrest inawezekana, lakini hakuna ugonjwa unaoitwa cardiac arrest

Tunajua mzee katutoka na apumzike kwa amani, habari nusu na zisizokamilika kama hii ya cardiac arrest inazidisha uvumi badala ya kuondoa.
 
Mkuu SMU
Nimefuatilia sana maelezo kuna 'gap''. Leo msaidizi wake bwana Makocha amesema aliongea naye dakika45 kabla ya mauti. Kama ilivyo kwa wengine hakusema Hospitali gani. Swali, hivi jina la Hospitali ni 'privacy' pia hasa tukijua Mkapa ni public figure

Pili, sheria walizotunga wenyewe zinawataka watoe taarifa kwa utaratibu waliojiwekea ambao sasa hawataki kuutumia. Kuna swali, nini kinafichwa hadi wakiuke sheria zao wenyewe kuhusu misiba ya viongozi?

Tatu, watu wanazungumzia vitu kwa kubahatisha. Mkuu Kichuguu amekomalia malaria. Sasa kuna uhusiano gani kati ya cardiac arrest na malaria?

Nne, watu wanachanganya mambo. Cardiac arrest kwa ''lugha ta mtaani ili watu waelewe'' ni sawa na kusema
Mtu fulani amekuwa arrested na Polisi(msicheke, ni katika kutafuta njia za kuleweshana).
Sasa ni kwasababu gani hilo ni jambo tofauti, inaweza kuwa kabaka, mwizi wa kalamu, mhujumu, msaliti n.k

Kwa upande wa moyo, cardiac arrest haina maana kifo.
Unaweza kupata na kuwa resuscitated na kupona.Inategeme ukubwa na ukali wa hiyo cardiac arrest.

Hivyo kwamba chanzo cha kifo ni cardiac arrest kunajenga wasi wasi zaidi kwasababu hakuna ugonjwa unaoitwa cardiac arrest, lakini cardiac arrest ni matokeo ya tatizo fulani.

JK kasema ameongea naye akiwa na maumivu na msaidizi wake kasema ameongea naye dk 45 kabla ya kifo.

Hii maana yake ni kuwa kulikuwa na tatizo linamsumbua mzee na lilimpa maumivu kwa mujibu wa JK
Kama tatizo hilo lililpelekea cardiac arrest inawezekana, lakini hakuna ugonjwa unaoitwa cardiac arrest

Tunajua mzee katutoka na apumzike kwa amani, habari nusu na zisizokamilika kama hii ya cardiac arrest inazidisha uvumi badala ya kuondoa.
Umeandika maneno mengi lakini hayana mantiki kabisa; kwa mfano unaponiuliza kuhusu ushiano wa cardiac arrest na malaria inaonyesha ama hujui maana ya cardiac arrest au hutaki kuamini yaliyosemwa na ndugu wa marehemu.

Cardiac arrest haina uhusiano na kitu kingine chochote bali mwili wenyewe. Na wala hakuna aliyesema kuwa cardiac arrest hiyo imesababishwa na Malaria; taarifa zilizoko ni kuwa alilazwa hospitali kwa sababu ya Malaria, na amepatwa na cardiac arrest akiwa hospitali; ingeweza kumkuta akiwa nyumbani au mahala pengine popote pale. Cardiac arrest huwa haina symptoms zozote; ni kitu cha ghafla tu. Ili upate resuscitation inabidi CPR ifanyike mara moja, ukishachelewa muda wa kama nusu saa basi, mgonjwa haponi tena. Halafu pia CPR huwa haina gurantee hasa watu wa zaidi ya miaka 65; ni kama 10-15% tu wanaopona. Mkapa alikuwa na miaka 81 na tena overwheight. Wewe huna record za afya yake na wala hujui alikuwa anatibiwa wapi maiak 15 iliyopita tangu atoke madarakani.

Mimi siyo mtu wa conspiracies na wala "sikukomalia malaria", bali nimerudia yaliyosema na ndugu. Kama wewe na wengine mnajua zaidi ya ndugu na madaktari wa marehemu basi sawa. Tusipoteze muda kubishana vitu ambavyo havisaidii na wala haviwezi kurudisha uhai wa marehemu.
 
Tangu lini cardiac arrest ukawa ugonjwa, magonjwa yote yanayosababisha kifo lazima yatapelekea moyo kusimama na hiyo ndo inaitwa cardiac arrest, sasa nyie waandishi makanjanja wa kibongo mnajitia ujuaji kwenye mambo ambayo hamna uelewa hata chembe kujitafutia cheap popularity, kwa nini msiulize wataalamu kwanza, bullshit..
 
35 Reactions
Reply
Back
Top Bottom