Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

Sijui wataalamu, cardiac arrest ni mara moja tu, sio upate jumatano ufariki Ijumaa

Mbili, issue cardiac nilitegemea angepelekwa Hospitali yetu ya mabingwa wa moyo pale Jakaya Kikwete Cardiac Institute na sio Hospitali Mzna

Tungeacha tu kujadili tumzike Mzee wetu tuendelee na mengine maana tunazidi kuleta mkanganyiko
Mkuu pombe bado ipo kichwani, mbona jamaa kaeleza vizuri tu, unachotaka kupotosha ni nini sasa? Hakwenda hospital kwa shinikizo la moyo ila alikuwa hajisikii vizuri wakampima na kumkuta na malaria, hiyo cardiac imekuja baadae tena hata manesi hawakujua coz walimkuta tayari ameshafariki. Sasa ulikuwa unataka wafanyaje? wampeleke muhimbili akiwa maiti wakaitibu moyo?
Tuacheni kupotosha, mwacheni azikwe na apumzike kwa amani. Tuchukue kile tulichoambiwa na watu wake wa karibu hadi hapo watakapo sema kingine.
 
Minongono ya “kumalizwa” inaongezeka
Serikali lazima initahidi kuiondoa hii imetokana na Kauli kutofautiana Sana na ushuhuda wa wanafamilia hadharani na hata mmoja mmoja

The communication poorly handled
Ha ha ha Ukweli mkapa hakufia nyumbani amefia Hosptal pale alipokwenda kikwete na hao wanafamilia wamejichanganya sana ni Aibu kuudanganya umma
 
Tumetafuna pesa nyingi sana kama taifa kwa Kampeni za kutokomeza Malaria, na hata kufikia hatua ya wagonjwa wengi kupimwa nankukutwa hawana malaria na nafasi yake kuchukuliwa na UTI &/au Typhoid.
Leo hii tena BEN afe kwa malaria!!!! Ajabu gani hii
Wajinga hamuwezi kuisha mngesikiliza hotuba alaf ndio mngekuja kuchangia, kilichompeleka hospital ni Malaria na alikua anaendelea vzr, ila kilichomuondoa ni Iyo Cardiac arrest ambayo ilitokea ghafla
 
Paskali Rais mstaafu Kikwete alisema alipoonana na mkapa kabla hajafa alisema MAUMIVU sii makali sana, Je malaria ina maumivu?
Swala la heart attack hatupingi ila chanzo cha ugonjwa ulopelekea Heart attack ni questionable.
Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.

Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.

Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.

Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya

Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.

Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.

Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.

RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.

Paskali
 
Mkuu pombe bado ipo kichwani, mbona jamaa kaeleza vizuri tu, unachotaka kupotosha ni nini sasa? Hakwenda hospital kwa shinikizo la moyo ila alikuwa hajisikii vizuri wakampima na kumkuta na malaria, hiyo cardiac imekuja baadae tena hata manesi hawakujua coz walimkuta tayari ameshafariki. Sasa ulikuwa unataka wafanyaje? wampeleke muhimbili akiwa maiti wakaitibu moyo?
Tuacheni kupotosha, mwacheni azikwe na apumzike kwa amani. Tuchukue kile tulichoambiwa na watu wake wa karibu hadi hapo watakapo sema kingine.
Kwani Tatizo la kupumua si huja ghafra pia hakuna upotoshaji wowote kwa wachangiaji mada bali upotoshaji umetokea huko kwenu wanafamilia mmejichanganya wenyewe.
 
Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.

Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.

Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.

Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya

Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.

Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.

Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.

RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.

Paskali

https://www.inquirer./health/corona...ular-heart-rhythm-penn-medicine-20200622.html
 
Mkuu, mimi nina uelewa kiasi kidogo wa haya mambo. Ukiangalia vyeti vyote vya kifo, kuna kitu kinaitwa "immediate cause of death". Immediate cause ya vifo vyote duniani ni cardio-pulmonary arrest. Ufe kwa cancer, COVID-19, HIV/AIDS, kuishiwa damu wakati wa kujifungua nk, ili ufe ni lazima hivi visababishi visabibishe "cardio-pulmonary arrest" (moyo na mapafu kutokufanya kazi ama moyo kufa). Alichotakiwa kusema Erio ni nini kimesababisha cardiac arrest kwa mzee wetu. Hicho pengine hatokisema.

Nikupe mfano. Ni kama mtu kasema nyumba imebomoka bila kutoa chanzo chake. Inaweza kubomoka kwa maporomoko, kubomolewa na grader kwa vile umejenga barabarani nk. Nadhani umeelewa.

Update: Kwa mujibu wa wachangiaji wengi humu wanasema ni malaria. Kwa hiyo malaria ndio pengine imesababisha "cardic arrest" kwa mzee. Lakini kusema tu "cardia arrest" ni sawa na kusema kifo chake kimesababishwa na kifo.
Nimekuelewa sana Chief.
 
Minongono ya “kumalizwa” inaongezeka
Serikali lazima initahidi kuiondoa hii imetokana na Kauli kutofautiana Sana na ushuhuda wa wanafamilia hadharani na hata mmoja mmoja

The communication poorly handled
Machiavellian believes in “who has the power/money has the say.”
So do whatever is necessary to get and to keep it.
Hence, he believes in “The ends justify the means”.

Win first and then you can do whatever with your power.

For good things, do them or appear to do them to gain reputation and support.

For the bad things, get someone else to do this necessary evils, so that if it fails, you can blame them and you still look good. i.e. always cover your backside.

Ruling with fear is better than ruling with love. It is better for people to fear you rather than respect you. With fear, people must do it or else.

With love or respect, the obedience is optional and hence less effective.

His teaching is very similar to Chinese HanFeiZi’s Legal School philosophy which believes in using the Laws (Laws are designed to favor the Emperor) to rule the people with fear to achieve immediate or at least short-term following and success.

Such principles work in the short run for quick success. However, in the longer term, people will discover it and will revolt against it.
 
Ha ha ha Ukweli mkapa hakufia nyumbani amefia Hosptal pale alipokwenda kikwete na hao wanafamilia wamejichanganya sana ni Aibu kuudanganya umma
Machiavellian believes in “who has the power/money has the say.”
So do whatever is necessary to get and to keep it.
Hence, he believes in “The ends justify the means”.

Win first and then you can do whatever with your power.

For good things, do them or appear to do them to gain reputation and support.

For the bad things, get someone else to do this necessary evils, so that if it fails, you can blame them and you still look good. i.e. always cover your backside.

Ruling with fear is better than ruling with love. It is better for people to fear you rather than respect you. With fear, people must do it or else.
 
Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.

Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.

Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.

Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya

Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.

Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.

Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.

RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.

Paskali
Msome sana huyu clinical finisher ili ujue anatupiaje tupiaje nyavuni
 
Sijui wataalamu, cardiac arrest ni mara moja tu, sio upate jumatano ufariki Ijumaa

Mbili, issue cardiac nilitegemea angepelekwa Hospitali yetu ya mabingwa wa moyo pale Jakaya Kikwete Cardiac Institute na sio Hospitali Mzna

Tungeacha tu kujadili tumzike Mzee wetu tuendelee na mengine maana tunazidi kuleta mkanganyiko
Kwani huwezi kuwa unaumwa kitu kingine halafu ukapatwa na hiyo cardiac arrest na ukafa papo hapo?
 
ndammu,
Kumbuka jana yake kikwete alikuwa hospitali na marehemu wakipiga story, sidhani kama hospitali ni wajinga kuruhusu kikwete kama mkapa angekuwa na corona.
Wewe utakuwa mgeni Tanzania,hao madakitari ulitaka wasema ni corona? Hiyo itabaki Siri yao.acha tuendelee kusubiria tu cardiac arrest nyingine tu maana zitakuwa nyingi kipindi hiki
 
Back
Top Bottom