Hatimae imefahamika kwamba kumbe ile tuliyokuwa tunaambiwa ni saa ya ukombozi ama ni ya kichina au iliwekwa betri za kichina baada ya kuonekana mwendo wake kusuasua kiasi cha kutishia ule mtiririko wa kwamba siku moja ni saa 24!!! Hadi inafika saa 10 jioni, saa ya ukombozi ndo kwanza ilikuwa inaonesha saa 6 mchana jambo lililotia shaka kwamba huenda betri za saa hiyo zimeishiwa nguvu na hivyo kuufanya mshale wake wa sekunde kutembea kwa mwendo wa mdebwedo mithili ya ule mshale wa saa!!! Hofu ya wale waliokuwa wanaiamini saa ya ukombozi ni kwamba huenda kuna mjanja mmoja ambae badala ya kununua betri kutoka kwa authorised dealers; mjanja huyo akaenda kununua kwa wamachinga wa pale mchikichini!!
Alamsiki, lakini nasikia Dr. Slaa is badly defeated pale Dom na wilaya zake huku wakielekea kugalagazwa kule Kahama!!!!Hata hivyo, don' mind abt hayo matokeo kwani my thread here was just abt saa ya ukombozi ambayo iliwekwa betri za kichina!
Alamsiki, lakini nasikia Dr. Slaa is badly defeated pale Dom na wilaya zake huku wakielekea kugalagazwa kule Kahama!!!!Hata hivyo, don' mind abt hayo matokeo kwani my thread here was just abt saa ya ukombozi ambayo iliwekwa betri za kichina!