Elections 2010 Kumbe rostaz alikua afrika kusini, siku kura feki zinadaiwa kuingizwa toka huko?

MWANASHERIA

Member
Aug 20, 2010
84
11
Nimeshtuka kidogo, baada ya kuona kwenye TV Rostam akijitetea kuwa siku anayodaiwa kufanya kikao Mwanza tarehe 19 alikua Afrika Kusini toka tarehe 16 October. Kilichonishtua ni kwamba tarehe 17 October, Rostam akiwa bado Afrika Kusini, ndio siku ambayo kulitokea kontena linalodaiwa kuwa na kura feki kuingizwa nchini toka A. Kusini kupitia Tunduma.
Hebu wananchi tutafakari hili................
 
Ama kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza! Wanazidi kutoa ushahidi wa ushiriki wao katika uchakachuaji wao wenyewe!
 
Kweli Mwanasheria umesema, inaonyesha yeye ndiyo alikuja na ile gari lenye Makaratasi.
Halafu isitoshe Afrika Kusini kwa wenzetu ni kama hapo Kariakoo na Ubungo. Asubuhi anaweza Kuwa Afrika Kusini jioni yupo Mwanza.
 
Siku za mwizi 40 huyu ndo mbaya wetu na KIkwete wake

Sijawai kumchukia kikwete kama kipindi hiki

I will never never accept Kikwete
 
nimeshtuka kidogo, baada ya kuona kwenye tv rostam akijitetea kuwa siku anayodaiwa kufanya kikao mwanza tarehe 19 alikua afrika kusini toka tarehe 16 october. Kilichonishtua ni kwamba tarehe 17 october, rostam akiwa bado afrika kusini, ndio siku ambayo kulitokea kontena linalodaiwa kuwa na kura feki kuingizwa nchini toka a. Kusini kupitia tunduma.
hebu wananchi tutafakari hili................
oh ooooooh mh !!!
 
Nimeshtuka kidogo, baada ya kuona kwenye TV Rostam akijitetea kuwa siku anayodaiwa kufanya kikao Mwanza tarehe 19 alikua Afrika Kusini toka tarehe 16 October. Kilichonishtua ni kwamba tarehe 17 October, Rostam akiwa bado Afrika Kusini, ndio siku ambayo kulitokea kontena linalodaiwa kuwa na kura feki kuingizwa nchini toka A. Kusini kupitia Tunduma.
Hebu wananchi tutafakari hili................

Dont worry Mzee,

Rostam alitakiwa atuonyeshe "entry stamp" na "Exit Stamp" ya SA na sio Exit stamp ya TZ kama alivyokuwa ameonyesha kwenye TV. Hawa ni mafisadi wanaweza kupeleka passport airport immigration wakapiga mihuri wakati yuko hapahapa TZ. Maana yake ni kuwa hajatuhakikishia alikuwa SA!
 
Nimeshtuka kidogo, baada ya kuona kwenye TV Rostam akijitetea kuwa siku anayodaiwa kufanya kikao Mwanza tarehe 19 alikua Afrika Kusini toka tarehe 16 October. Kilichonishtua ni kwamba tarehe 17 October, Rostam akiwa bado Afrika Kusini, ndio siku ambayo kulitokea kontena linalodaiwa kuwa na kura feki kuingizwa nchini toka A. Kusini kupitia Tunduma.
Hebu wananchi tutafakari hili................

Acheni uzandiki nyie na uzushi, huyu jamaa ana fanya biashara zake nyingi tu Afrika Kusini .
 
CCM wanajikanganya hawaaaaaaaaaaaaa
Wanaluka mavi alafu wanakanyaga mkojo.
So alikuwa SA kujaribu kusuka mipango ya ayo makontena
 
Nimeshtuka kidogo, baada ya kuona kwenye TV Rostam akijitetea kuwa siku anayodaiwa kufanya kikao Mwanza tarehe 19 alikua Afrika Kusini toka tarehe 16 October. Kilichonishtua ni kwamba tarehe 17 October, Rostam akiwa bado Afrika Kusini, ndio siku ambayo kulitokea kontena linalodaiwa kuwa na kura feki kuingizwa nchini toka A. Kusini kupitia Tunduma.
Hebu wananchi tutafakari hili................
Hiyo mie mwenyewe niliipata nikiwa hapa South Africa kwa masikio yangu mwenyewe, akiongea bwana mmoja ambaye ni mwambata wa kijeshi katika ubalozi wa Tanzania huko Pretoria (Brigedia M****) kwamba "kura feki za Zanzibar zimetengenezwa mjini Sandton - uliopo jimbo la Gauteng na wanataka kura za CUF na CCM zitofautiane kidogo! Halafu za Tz bara zimetengenezwa Bloemfontein - mji mkuu wa jimbo la Free State na wanataka kikwete apate kati ya asilimia 70 - 80".

Sasa RA kusema kuwa alikuwa SA inawezekana, na anahusika kushiriki ktk mkutano wa wachakachuaji kwa sababu atakuwa aliwaambia niandikeni jina nakubaliana na hayo mtakayoazimia au imekuwa rahisi yeye kusema alikuwa SA lakini hakwepo kwa sababu hisia zinamtuma hivyo akijua akilini kwamba kuna mipango ya wizi walikuwa wakishughulikia huko!
 
Acheni uzandiki nyie na uzushi, huyu jamaa ana fanya biashara zake nyingi tu Afrika Kusini .

biashara zake wewe umezijuaje?
hata hivyo kwenda south ni masaa mangapi?
mtawatetea sana lakini mambo yote yatakuwa wazi muda siyo mwingi.
you wait and i do too
 
Ni kweli ni mfanyi biashara lakini siku hiyo alikuwa anashughulikia swala la karatasi za kura kama unabisha shauri yako
maana aliyeona kontena ni mwangalizi wa TRA na alivyotoa report kwa Bosi wake akamwambia hairuhusiwi kukaguliwa na ikafanyika mbinu kushirikiana na mkuu wa polisi haraka haraka na gari likatokomea wakaweka gari lingine kwa ushahidi tu na kama huamini ubaki na umasikini wako,JK atakuwa rais lakini hamna anayemthamini kwa sasa na atapata taabu sana katika kipindi hiki cha 5years
 
Dont worry Mzee,

Rostam alitakiwa atuonyeshe "entry stamp" na "Exit Stamp" ya SA na sio Exit stamp ya TZ kama alivyokuwa ameonyesha kwenye TV. Hawa ni mafisadi wanaweza kupeleka passport airport immigration wakapiga mihuri wakati yuko hapahapa TZ. Maana yake ni kuwa hajatuhakikishia alikuwa SA!

Sure, hilo ndio nililoona nilipokuwa natizama ile habari. Suala la exit ya Tz na entry ya Tz kwa fisadi kama yeye ni kitu kidogo sana. watuonyeshe entry na exit ya south, japo nayo ni kitu kidogo kama intelligensia imehusika na kwa mtandao uliopo wa kifisadi. What we believe ni kwamba mchezo uliotajwa ni mchafu na ulifanyika!!
 
Hivi ni kwanini RA anaheshimika na kutegemewa sana CCM?
Ni Mafia au zile pesa zake?
Na watu wa Tabora huwaelezi kitu mbele ya huyu jamaa.
 
Ni kweli ni mfanyi biashara lakini siku hiyo alikuwa anashughulikia swala la karatasi za kura ( WEWE ULIMUONA ?) kama unabisha shauri yako
maana aliyeona kontena ni mwangalizi wa TRA ( YUPI , HEBU MTAJE TUMJUE ) na alivyotoa report kwa Bosi wake akamwambia hairuhusiwi kukaguliwa na ikafanyika mbinu kushirikiana na mkuu wa polisi haraka haraka na gari likatokomea ( KWENDA WAPI ?) wakaweka gari lingine ( LIPI ZITAJE NAMBA ZAKE) kwa ushahidi tu na kama huamini ubaki na umasikini wako ( FANYA KAZI NDIO UMASKINI UTAONDOKA ACHA VITU VYA BURE ),JK atakuwa rais ( AMEISHA KUWA RAIS , NANI RAIS WA WOTE ) lakini hamna anayemthamini kwa sasa ( WATANZANIA WANAMTHAMINI NDIO MAANA WAMEMPA RIDHAA YA KUONGOZA , NI WW TU PEKE YAKO ) na atapata taabu sana ( HAKUNA TABU YOYOTE ILANI YA UCHAGUZI ITATEKELEZWA KAMA ILIVYOPANGWA) katika kipindi hiki cha 5years ( TANZANIA BILA CCM HAIWEZEKANI)

QUOTE=kishalu;1226731]Ni kweli ni mfanyi biashara lakini siku hiyo alikuwa anashughulikia swala la karatasi za kura ( WEWE ULIMUONA ?) kama unabisha shauri yako
maana aliyeona kontena ni mwangalizi wa TRA ( YUPI , HEBU MTAJE TUMJUE ) na alivyotoa report kwa Bosi wake akamwambia hairuhusiwi kukaguliwa na ikafanyika mbinu kushirikiana na mkuu wa polisi haraka haraka na gari likatokomea ( KWENDA WAPI ?) wakaweka gari lingine ( LIPI ZITAJE NAMBA ZAKE) kwa ushahidi tu na kama huamini ubaki na umasikini wako ( FANYA KAZI NDIO UMASKINI UTAONDOKA ACHA VITU VYA BURE ),JK atakuwa rais ( AMEISHA KUWA RAIS , NANI RAIS WA WOTE ) lakini hamna anayemthamini kwa sasa ( WATANZANIA WANAMTHAMINI NDIO MAANA WAMEMPA RIDHAA YA KUONGOZA , NI WW TU PEKE YAKO ) na atapata taabu sana ( HAKUNA TABU YOYOTE ILANI YA UCHAGUZI ITATEKELEZWA KAMA ILIVYOPANGWA) katika kipindi hiki cha 5years ( TANZANIA BILA CCM HAIWEZEKANI) [/QUOTE]
 
Hiyo mie mwenyewe niliipata nikiwa hapa South Africa kwa masikio yangu mwenyewe, akiongea bwana mmoja ambaye ni mwambata wa kijeshi katika ubalozi wa Tanzania huko Pretoria (Brigedia M****) kwamba "kura feki za Zanzibar zimetengenezwa mjini Sandton - uliopo jimbo la Gauteng na wanataka kura za CUF na CCM zitofautiane kidogo! Halafu za Tz bara zimetengenezwa Bloemfontein - mji mkuu wa jimbo la Free State na wanataka kikwete apate kati ya asilimia 70 - 80".

Sasa RA kusema kuwa alikuwa SA inawezekana, na anahusika kushiriki ktk mkutano wa wachakachuaji kwa sababu atakuwa aliwaambia niandikeni jina nakubaliana na hayo mtakayoazimia au imekuwa rahisi yeye kusema alikuwa SA lakini hakwepo kwa sababu hisia zinamtuma hivyo akijua akilini kwamba kuna mipango ya wizi walikuwa wakishughulikia huko!

This is terrifying kwa kweli...! Hivi huyu jamaa is there no means of eliminating him? Manake kila jambo baya katika nchi hii he has been the driving force behind it...! Hapo haujazungumzia mambo ya ajabu anayofanya ambayo bado hatujayafahamu...!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom