MWANASHERIA
Member
- Aug 20, 2010
- 84
- 11
Nimeshtuka kidogo, baada ya kuona kwenye TV Rostam akijitetea kuwa siku anayodaiwa kufanya kikao Mwanza tarehe 19 alikua Afrika Kusini toka tarehe 16 October. Kilichonishtua ni kwamba tarehe 17 October, Rostam akiwa bado Afrika Kusini, ndio siku ambayo kulitokea kontena linalodaiwa kuwa na kura feki kuingizwa nchini toka A. Kusini kupitia Tunduma.
Hebu wananchi tutafakari hili................
Hebu wananchi tutafakari hili................