Kumbe Quran Tukufu ina tafsiri kibao za Kiswahili na Lugha nyingine!!!

JembeNaNyundo

JF-Expert Member
Dec 9, 2016
532
646
Nilishawahi sikia Waislam wakisema Biblia haina uasili kwa sababu imekuwa ikitafsiriwa matoleo tofauti katika lugha mbalimbali, jambo ambalo halipo katika Quran.

Katika pitapita yangu, nimeona matoleo mengi ya tasfiri ya Quran katika Kiingereza, lakini pia yapo yasiyopungua matatu katika kiswahili kama:

1. Tafsiri ya Kurani ya Kiarabu kwa lugha ya Kiswahili pamoja na Dibaji na maelezo Machache na Godfrey Dale, 1923

2. Kurani Tukufu na Mubarak Ahmad Ahmadi, 1953

3. Qur'ani Takatifu na Abdallah Saleh al-Farsy, 1969

Kulikoni Kuwasema Wakristo kuhusu tafsiri tofauti za Biblia?
 
Nilishawahi sikia Waislam wakisema Biblia haina uasili kwa sababu imekuwa ikitafsiriwa matoleo tofauti katika lugha mbalimbali, jambo ambalo halipo katika Quran.

Katika pitapita yangu, nimeona matoleo mengi ya tasfiri ya Quran katika Kiingereza, lakini pia yapo yasiyopungua matatu katika kiswahili kama:

1. Tafsiri ya Kurani ya Kiarabu kwa lugha ya Kiswahili pamoja na Dibaji na maelezo Machache na Godfrey Dale, 1923

2. Kurani Tukufu na Mubarak Ahmad Ahmadi, 1953

3. Qur'ani Takatifu na Abdallah Saleh al-Farsy, 1969

Kulikoni Kuwasema Wakristo kuhusu tafsiri tofauti za Biblia?
Maneno yenyewe ya asili ya qur an yanakuwa pembeni ya tafsiri. hivyo kama mfasiri anapotosha inajulikana mara moja. tofauti na biblia. maneno asili hasa aliyoshushiwa Musa kwa mfano hayapo. hayo ya yesu yameandikwa miaka kadhaa baada ya kufa kwake. hapohapo waandishi wanapishana. lakini asili ya maneno hasa yangekuwepo ingekuwa sawa
 
Kumbe hujaelewa. Qur'an haijabadilishwa kilichobadilika ni lugha/ tafsiri labda English, Swahili,Kiarabu , kispenish n.k
 
Rudi kajipange , ulishaona biblia iliyo katika lugha yake ya asili? (Kiyunani) wajua ni kwa nini haipo, 8:8 yeremia
 
Nilishawahi sikia Waislam wakisema Biblia haina uasili kwa sababu imekuwa ikitafsiriwa matoleo tofauti katika lugha mbalimbali, jambo ambalo halipo katika Quran.
Katika pitapita yangu, nimeona matoleo mengi ya tasfiri ya Quran katika Kiingereza, lakini pia yapo yasiyopungua matatu katika kiswahili kama:
1. Tafsiri ya Kurani ya Kiarabu kwa lugha ya Kiswahili pamoja na Dibaji na maelezo Machache na Godfrey Dale, 1923
2. Kurani Tukufu na Mubarak Ahmad Ahmadi, 1953
3. Qur'ani Takatifu na Abdallah Saleh al-Farsy, 1969
Kulikoni Kuwasema Wakristo kuhusu tafsiri tofauti za Biblia?
hujaelewa maana, kilichomaanishwa ni kwamba maandishi ya asili ya Qur-an tukufu hayabadilishwi na badala yake tafsiri ndio zinatofautiana wote hao uliowataja na wengine usiowajua wanatafsiri kutoka kwenye kitabu kimoja cha Qur-an na kila mmoja ametafsiri kulingana na alivyoielewa. kwa mfano mimi naandika kwa kiswahili hapa, nawewe ukahiyari kurudia kuyaandika niliyoyaandika kwa lugha ya kiingereza basi ni dhahiri utayaandika kwa jinsi ulivyoelewa wewe unaweza kuchukua tahadhari kwa kusema "tafsiri isiyo rasmi" kwa maana si maneno halisi.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom