Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ukiangalia Picha hapo juu, ni mkutano wa ndani Chadema..ukiongozwa na 'kamanda Lowassa ambaye ni mjumbe tu huku makabrasha yakibebwa na makamu mwenyekiti Prof.Safari. Kweli pesa ndio kila kitu siasa za bongo, mtu ana digrii tatu za sharia ana aliwahi kuwa mkuu wa chuo cha diplomasia anaruhusu protokali ya chama kukandamizwa?.
Haya ndugu Lowassa nakutakia kila laheri na kazi yako ya kuchunga ng'ombe kama ulivyotuahidi ukishindwa uchaguzi mwaka 2015.
Ni boda boda tu inapenya kwenye foleni...sasa huyu mjumbe kumpenya makamu mwenyekiti tafsiri yake nini?