Kumbe nyerere alikuwa ni chain smoker!

Nyerere hakushindwa kuongoza nchi. Kwa nchi ambayo ilikuwa na less than a 100 graduates at the time of independence kuwa na literacy rate of 85% wakati anaondoka mamlakani huwezi kusema huko ni kushindwa. His record on the liberation of Africa is unparalled.

Ama kweli, ukipenda chongo utaona kengeza, nyerere kang'atuka, nchi iko hohe hahe. Huo ndio ushindi wake.
 
Ama kweli, ukipenda chongo utaona kengeza, nyerere kang'atuka, nchi iko hohe hahe. Huo ndio ushindi wake.
Nimekupa facts. Zisute. Ndio nchi ilikuwa hohe hahe baada ya vita vya Idi Amin. Kipi kisichoeleweka hapo?
 
Mimi ni mmojawao. Sihitaji kuuliza. Unless ulimaanisha mlenda/mrenda.

Ganja vipi? huko sio mboga? na wanawake kuoa wanawake wenzao, ruksa, au sio?

ndio maana unamtetea nyerere hata ambapo hapateteeki.
 
Nimekupa facts. Zisute. Ndio nchi ilikuwa hohe hahe baada ya vita vya Idi Amin. Kipi kisichoeleweka hapo?

Wacha pumba, fact ipi? mbona husemi alipoondoka BOT ilikuwaje? hazina kulikuaje, mitaani kulikuaje, watu hata kandambili walikuwa hawana, na hiyo ni miaka mingapi baada ya vita? na hapo waganda walishaanza kurudisha gharama za vita. Na vita gani ile ya kututia umasikini? vita iliyolipiwa na mataifa kibao au hilo umesahau?
 
Ganja vipi? huko sio mboga? na wanawake kuoa wanawake wenzao, ruksa, au sio?

ndio maana unamtetea nyerere hata ambapo hapateteeki.
Naona hujafika Mara. Ganja wanailima Tarime. Si mboga. Inauzwa Kenya. Mila ya wanawake wasio na watoto (Intobu) kuona wanawake wengine ili wawazalie watoto iko Tarime. Mkoa wa Mara una makabila zaidi ya 23. Usiwachanganye wote chungu kimoja. Nimekupa facts. Msute Nyerere kwa facts, si kwa dhana, kama mlivyokuwa mnafanya na Mohammed Said kwenye ile thread nyingine.
 
Wacha pumba, fact ipi? mbona husemi alipoondoka BOT ilikuwaje? hazina kulikuaje, mitaani kulikuaje, watu hata kandambili walikuwa hawana, na hiyo ni miaka mingapi baada ya vita? na hapo waganda walishaanza kurudisha gharama za vita. Na vita gani ile ya kututia umasikini? vita iliyolipiwa na mataifa kibao au hilo umesahau?
Waganda walianza kulipa war reparations wakati wa utawala wa Museveni. Museveni aliingia mamlakani 1986 na Nyerere alistaafu 1985. Facts, my friend, facts.
 
Naona hujafika Mara. Ganja wanailima Tarime. Si mboga. Inauzwa Kenya. Mila ya wanawake wasio na watoto (Intobu) kuona wanawake wengine ili wawazalie watoto iko Tarime. Mkoa wa Mara una makabila zaidi ya 23. Usiwachanganye wote chungu kimoja. Nimekupa facts. Msute Nyerere kwa facts, si kwa dhana, kama mlivyokuwa mnafanya na Mohammed Said kwenye ile thread nyingine.

Hizi sio facts:

Alipoondoka BOT ilikuwaje? Imechomwa moto, why?

Hazina kulikuaje? Muflis,

Mitaani kulikuaje? Nyang'anyang'a hata barabara hazipitiki, tope tupu katikati ya miji wacha nje ya ya miji, huko ndio hapasemeki, kwenda Mwanza inabidi uzungukie Kenya, barabara za hapa hazipitiki, si mvua si jua.

Watu hata kandambili za kwendea chooni walikuwa hawana.

Na hiyo ni miaka mingapi baada ya vita? na hapo waganda walishaanza kurudisha gharama za vita. Na vita gani ile ya kututia umasikini? vita iliyolipiwa na mataifa kibao au hilo umesahau?
 
Waganda walianza kulipa war reparations wakati wa utawala wa Museveni. Museveni aliingia mamlakani 1986 na Nyerere alistaafu 1985. Facts, my friend, facts.

Si kweli, waganda wameanza kulipa immediately baada ya vita, na hivyo ndiyo ilivyo.
 
Umeshaita kauli zangu pumba. Sina sababu ya kuendelea kubishana na mtu kama wewe kwa sababu hiyo. Ila naona umejikita zaidi katika kujaza uwongo kwenye thread hii badala ya facts. Nitajie angalau nchi moja tu iliyolipia vita kati yetu na Uganda. Huo ni uwongo wa mchana kweupe. Kalagabaho!
 
Hata kama alivuta ganja na kupiga kilevi ilikuwa ni halali yake jamani maana mazingira aliyokuwa nayo kupambana na mkoloni kwa hoja ilihitaji nguvu ya ziada. Nafikiri kuvuta inasaidia kufanya maamuzi magumu ndo maana mwalimu aliweza. Hawa viongozi wa sasa wanaojifanya kunywa soda na maji huku wakiwakumbatia mafisadi sidhani kama watatufikisha mbali. Inatakiwa apatikane kiongozi mwingine mwenye kutumia ganja atusaidie kuinyoosha nchi.
 
So.....? The man had rights to a private life too, were he could do what ever he wanted with in the limits of the law.......
 
Kumbuka, nyerere was a "public figure", kumzungumzia yoooote yake ni katika kumkumbuka. Haswa zaidi haya yaliyojificha, labda ndio sababu za kushindwa kwake kuiongoza nchi.

Usimezwe na itikadi za jf za kina Mohamed Said kuwa Babu alishindwa kuongoza nchi....
 
Back
Top Bottom