Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,127
- 39,325
Hakika Tundu Lissu ni mwana wa baraka kwa nchi hii!! Lissu ni masihi aliyesubiriwa kwa kitambo!!
Hapa chini ni habari inayoeleza namna Kinana na JK walivyokula njama Za kumvua ubunge Tundu Lissu!!
Nimeona Dr Slaa akielezea kwa kina dhulma Za CCM dhidi ya Lissu na namna Kijana Lissu alivyokosesha usingizi watawala wa awamu hiyo!!
Hakika Magufuli anapambana na upepo!!!
Hapa chini ni habari inayoeleza namna Kinana na JK walivyokula njama Za kumvua ubunge Tundu Lissu!!
Nimeona Dr Slaa akielezea kwa kina dhulma Za CCM dhidi ya Lissu na namna Kijana Lissu alivyokosesha usingizi watawala wa awamu hiyo!!
Hakika Magufuli anapambana na upepo!!!