kumbe nipo

na atueleze kama kafungiwa nje au ndani...tuta bana
unajua ukimwambia mtu toka nje maanayake anatakiwa atoke nje aingie ndani, ukumwamwambia toka ndani maanayake anatakiwa aingie nje. kwa hiyo sina fahamu nilikuwa wapi. lakini nilikuwa sijielewe
 
Back
Top Bottom