Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,592
- 29,711
Kama siyo ujumbe wa email kutoka JF walah leo ingepita bila kutambua kwamba nilizaliwa tarehe kama ya leo
Niashukuru wana JF wote kwa namna tunavyodumisha udugu, urafiki na ujamaa baina yetu. Najua kuna changamoto nyingi maishani, lakini changamoto kubwa ni ile inayotukabili wengi wetu hapa, nayo ni Kuzaliwa Tanzania anchi ambayo haithamini vipaji vya watu wake, nchi inayoamini ktk fursa za kisiasa kama fursa rasmi kwa rika linalocchipukia na kinga ka walio mawio.
Naamini katika ushirikiano, udugu na kujali wngine. Tamaa ni nguzo ya uoga ila ujasiri ndiyo mlango wa mafanikio. Unapothubutu kuvuka kizingiti ujue safari umeianza. Usirudi nyuma ila tunza kumbukumbu za awali kwa ajili ya uzoefu njiani.
Naweza kujilaumu kuzaliwa wakati huu, lakini nakubali kulaumiwa kwa sababu sijafanya lolote la maana.
Leo nazaliwa
Kesho napagawa
Leo Naangaza
Kesho Nashangaza
Leo nakunjuka
Kesho nainuka
Leo ni leo
Kesho si leo
#JustSaying
Niashukuru wana JF wote kwa namna tunavyodumisha udugu, urafiki na ujamaa baina yetu. Najua kuna changamoto nyingi maishani, lakini changamoto kubwa ni ile inayotukabili wengi wetu hapa, nayo ni Kuzaliwa Tanzania anchi ambayo haithamini vipaji vya watu wake, nchi inayoamini ktk fursa za kisiasa kama fursa rasmi kwa rika linalocchipukia na kinga ka walio mawio.
Naamini katika ushirikiano, udugu na kujali wngine. Tamaa ni nguzo ya uoga ila ujasiri ndiyo mlango wa mafanikio. Unapothubutu kuvuka kizingiti ujue safari umeianza. Usirudi nyuma ila tunza kumbukumbu za awali kwa ajili ya uzoefu njiani.
Naweza kujilaumu kuzaliwa wakati huu, lakini nakubali kulaumiwa kwa sababu sijafanya lolote la maana.
Leo nazaliwa
Kesho napagawa
Leo Naangaza
Kesho Nashangaza
Leo nakunjuka
Kesho nainuka
Leo ni leo
Kesho si leo
#JustSaying