johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,828
- 141,742
Mzee Mgaya anasema Toba ya Ndugai kwa Rais na Wananchi iko kichama zaidi na ni utaratibu wa kawaida kwa kila anayekikosea chama.
Kwa mfano wanaccm wote waliohamia Chadema walipotaka kurejea walifanya toba hii " Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana" ndio hao akina Waitara, Mgeja, Sumaye, Dr Mollel, Cecil Mwambe nk.
Ni wachache waliwahi kugoma kufanya toba hiyo akina Kinana, Membe nk....nk. amesema Mgaya.
Kwa mfano wanaccm wote waliohamia Chadema walipotaka kurejea walifanya toba hii " Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana" ndio hao akina Waitara, Mgeja, Sumaye, Dr Mollel, Cecil Mwambe nk.
Ni wachache waliwahi kugoma kufanya toba hiyo akina Kinana, Membe nk....nk. amesema Mgaya.