Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Mtoto mdogo wa kiume kamsimulia mamaye: Mama, unafahamu kuwa dada(house girl) kumbe ni malaika? MAMA: kwa nini unasema hivyo? MTOTO: nilimwona akiwa u.c.h.i mikono ameshika ukutani akisema "mungu wangu nakuja, nakuja, nakuja" kama baba asingekuwa amemshikilia kwa nguvu kwa nyuma angeweza kupaa juu mbinguni!