Kumbe ni askari Magereza

Mr pianoman

JF-Expert Member
May 22, 2019
2,545
6,086
Huyu mwamba alicheza Movie ya MISUKOSUKO akiwa kama RPC mla rushwa movie iliyo tamba sana na inayo endelea kutamba mpaka sasa.

Picha ya kwanza akiwa kwenye majukumu yake kama askari Magereza. Picha zinazo fuata akiwa katika kazi yake ya sanaa.
Screenshot_2020-07-13-10-02-17-1.jpg
Screenshot_2020-07-13-15-44-09.jpg
Screenshot_2020-07-13-15-53-52-1.jpg
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom