Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,545
- 6,086
Huyu mwamba alicheza Movie ya MISUKOSUKO akiwa kama RPC mla rushwa movie iliyo tamba sana na inayo endelea kutamba mpaka sasa.
Picha ya kwanza akiwa kwenye majukumu yake kama askari Magereza. Picha zinazo fuata akiwa katika kazi yake ya sanaa.
Picha ya kwanza akiwa kwenye majukumu yake kama askari Magereza. Picha zinazo fuata akiwa katika kazi yake ya sanaa.