Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,190
Zilianza threat za wana CCM tunawajua kuwa watakuwepo Jamii forum kwa miaka 10 ambao ghafla wakanda kumpiga Rais Samia
Akaja Polepole na Shule ya Uongozi
Wanaharakati wao wa Facebook, Instagram na twitter wakitumia kauli za "hawezi Lucas viatu, hatoshi nk"
Sasa Ndugai katoa siri yao na kufafanua kinyongo chao. Alianza mwanamke kamwe hawezi kuwa kama mwanaume, sasankavuka mpaka Rais anakopakopa aisee this is too much
Tunajua kundi lenu
Bashiru
Kabudi
Dotto
Naibu Spika
Gwajima
Baadhi ya wabunge
Na Baadhi ya ma DC
Kiongozi mmoja mkubwa ndani ya chama (Huyu simtaji kwa sababu)
Viongozi UVCCM ya mikoa na wilaya awamu ya 5
Wamekuwa wakiongoza kampeni dhidi ya Rais Samia
Jambo zuri ni kuwa hamta fanikiwa kamwe
Tukutane 2022 ndani ya Chama afu tukutane 2025 uchaguzi Mkuu
Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Akaja Polepole na Shule ya Uongozi
Wanaharakati wao wa Facebook, Instagram na twitter wakitumia kauli za "hawezi Lucas viatu, hatoshi nk"
Sasa Ndugai katoa siri yao na kufafanua kinyongo chao. Alianza mwanamke kamwe hawezi kuwa kama mwanaume, sasankavuka mpaka Rais anakopakopa aisee this is too much
Tunajua kundi lenu
Bashiru
Kabudi
Dotto
Naibu Spika
Gwajima
Baadhi ya wabunge
Na Baadhi ya ma DC
Kiongozi mmoja mkubwa ndani ya chama (Huyu simtaji kwa sababu)
Viongozi UVCCM ya mikoa na wilaya awamu ya 5
Wamekuwa wakiongoza kampeni dhidi ya Rais Samia
Jambo zuri ni kuwa hamta fanikiwa kamwe
Tukutane 2022 ndani ya Chama afu tukutane 2025 uchaguzi Mkuu
Rais Samia
#KAZI IENDELEE