TBC wana tatizo kubwa sana la kibajeti.Kwa hali walio nayo wale watu wanastahili sana kuweza kudunda.hizo kazi zilitakiwa kufanywa na tbc....wajfunze kujiongeza na kufanya vpnd vnavyoisaidia serikali kwe sughuli zake za kiola cku na kuongezaushawish wa tanzania...sio kuweka vpnd vya harusi
Mkulu anategemewa wakati wowote kutia timu pale kujionea hali halisi,inategemewa akiona anaweza kutumia Rungu lake kumaliza matatizo yao