Akiwa hana kitambi anamkimbia Mwanume, akipata neema akapata kitambi kama Wasirra, anamkimbilia mwanaume! Inaonekana wanaume hatupendi wanawake wenye vitambi!
woga na hofu ambayo wanaume tunaipata tunapoambiwa wapenzi wetu wameshika mimba ungekuwa tunaupata kabla ya kufanya mapenzi na hao wapenzi wetu, walahi masafa mtume, mahusiano yangekuwa matamu kweli, lakini wapi bwana. Mwanamke atakavyogeuziwa kibao, hata hawezi kuamini kama huyu ndo yule mwanaumme alokuwa akimsifia kwa maneno matamu tamu na miungurumo ya ajabu ajabu kunako sita kwa sita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.