Kichwa Kichafu JF-Expert Member Apr 13, 2017 44,562 188,755 Sep 28, 2017 #2 HA! HA! HA! Anajielewa mwenyewe
KIOO JF-Expert Member Mar 3, 2013 6,154 5,680 Sep 28, 2017 Thread starter #3 Kichwa Kichafu said: HA! HA! HA! Anajielewa mwenyewe Click to expand... Hapa ndio naanza kuelewa ile kauli ya "Mimi......., Mimi......, et al. Hatarious.
Kichwa Kichafu said: HA! HA! HA! Anajielewa mwenyewe Click to expand... Hapa ndio naanza kuelewa ile kauli ya "Mimi......., Mimi......, et al. Hatarious.
KweliKwanza JF-Expert Member Aug 20, 2016 3,500 2,781 Sep 28, 2017 #5 Kweli Anachoelewa na ninachoelewa ni anataka Tanzania iendelee
Tresor Mandala JF-Expert Member Aug 20, 2010 37,421 78,581 Sep 28, 2017 #7 KIOO said: Hapa ndio naanza kuelewa ile kauli ya "Mimi......., Mimi......, et al. Hatarious. Click to expand... ipi sasa ya "mimi katika mkoa wangu' au 'mimi katika serikali yangu'
KIOO said: Hapa ndio naanza kuelewa ile kauli ya "Mimi......., Mimi......, et al. Hatarious. Click to expand... ipi sasa ya "mimi katika mkoa wangu' au 'mimi katika serikali yangu'
KIOO JF-Expert Member Mar 3, 2013 6,154 5,680 Sep 28, 2017 Thread starter #8 Joseverest said: Duuh napita tu Click to expand... Hahahahaaa. Lol.
KIOO JF-Expert Member Mar 3, 2013 6,154 5,680 Sep 28, 2017 Thread starter #9 mtu chake said: ipi sasa ya "mimi katika mkoa wangu' au 'mimi katika serikali yangu' Click to expand... Labda nifanye kumuuliza Kagasheki then nikupe jibu.
mtu chake said: ipi sasa ya "mimi katika mkoa wangu' au 'mimi katika serikali yangu' Click to expand... Labda nifanye kumuuliza Kagasheki then nikupe jibu.
KIOO JF-Expert Member Mar 3, 2013 6,154 5,680 Sep 28, 2017 Thread starter #10 KweliKwanza said: Kweli Click to expand... KweliKwanza. KweliKabisa.
Medicci JF-Expert Member Dec 26, 2016 553 915 Sep 28, 2017 #11 Experience ni kama chanio vile, unalipata ukiwa unakipara. Watanzania naamini hawatarudia makosa baada ya utawala wa jamaa kuisha
Experience ni kama chanio vile, unalipata ukiwa unakipara. Watanzania naamini hawatarudia makosa baada ya utawala wa jamaa kuisha
KIOO JF-Expert Member Mar 3, 2013 6,154 5,680 Sep 28, 2017 Thread starter #12 nyani mkindu said: Mmmmh tusubirie 2020 Click to expand... Jamaa anajielewa mwenyewe tu mkuu.
Manyawera JF-Expert Member Aug 16, 2017 567 1,103 Sep 28, 2017 #13 Anajielewa mwenyewe, nadhani hata anaotuongoza tunajielewa wenyewe
cocochanel Platinum Member Oct 6, 2007 26,768 73,435 Sep 28, 2017 #14 Ungeweka na jina lako tukutangaze kabisaaaa upate kiki..
KIOO JF-Expert Member Mar 3, 2013 6,154 5,680 Sep 29, 2017 Thread starter #15 cocochanel said: Ungeweka na jina lako tukutangaze kabisaaaa upate kiki.. Click to expand... Wanaotaka kiki ni hao mabwana zako wakubwa.
cocochanel said: Ungeweka na jina lako tukutangaze kabisaaaa upate kiki.. Click to expand... Wanaotaka kiki ni hao mabwana zako wakubwa.