Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Nisha amedai kuwa msanii wa bongofleva, Ney wa Mitego ndiye aliyembaka na kumpa mimba
Lakini Ney wa Mitego ameng'aka na kudai sio yeye na hawezi kubaka kwa kuwa anapiganiwa na wasichana wengi sana