BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
Wweeweeeeeeeee
Samahanini wasomali ila upande wa kula noooooo
Wakila wali watamwaga punje meza nzimaaaaaaaaa
Samahanini wasomali ila upande wa kula noooooo
Wakila wali watamwaga punje meza nzimaaaaaaaaa
wasomali wanaongoza kwa kula ''vizuri'' ukiwa na roho ndogo huli nao au kuwa karibu yao.. yaani kwanza wanaongea sana wakati wa kula then chakula wanapenda sawa wali na wanaweka mchuzi kibao kwenye sahani moja hata kama wako 10, wote wanachota humo mikono inajaa michui na wanajifyonza na wanakug'utia tena ile michuzi kwenye sahani... but one thing is for sure wana enjoy sana mlo