OMGHAKA
Member
- Aug 15, 2011
- 97
- 23
Nilikuwa na kazi maalum ofisini kwetu nikapata fursa ya kufanya "utafiti" ambao nilikusanya data zifuatazo:
Ofisi yetu ina wafanyakazi wanawake 42, na wanaume 72
Wanawake walioolewa ni 31, wasio katika ndoa ni 11
Wanaume walio ktk ndoa ni 62 wasio ktk ndoa ni 10 (wote madereva)
Kati ya wanaume 62 waliooa, 49 wameandika wake zao kama "next of kin", 1 ameandika dada yake, 1 ameandika kaka yake na 11 wameandika watoto wao.
Kati ya wanawake 31 walio ktk ndoa, 1 ameandika mumewe kama "next of kin", 3 wameandika dada zao na 27 wameandika watoto wao.
Conclusion: 97% ya wanawake walio katika ndoa huchukulia waume zao kuwa ni mabuzi tu!!
Ofisi yetu ina wafanyakazi wanawake 42, na wanaume 72
Wanawake walioolewa ni 31, wasio katika ndoa ni 11
Wanaume walio ktk ndoa ni 62 wasio ktk ndoa ni 10 (wote madereva)
Kati ya wanaume 62 waliooa, 49 wameandika wake zao kama "next of kin", 1 ameandika dada yake, 1 ameandika kaka yake na 11 wameandika watoto wao.
Kati ya wanawake 31 walio ktk ndoa, 1 ameandika mumewe kama "next of kin", 3 wameandika dada zao na 27 wameandika watoto wao.
Conclusion: 97% ya wanawake walio katika ndoa huchukulia waume zao kuwa ni mabuzi tu!!