saidi kindole
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 310
- 792
analipwa mshahara kwa kodi zetuwananchi alipaswa awe bila upande, sasa anakula kodi yetu anawatumikia ccm?We ulitegemea awe chama gn
Utumishi wa umma
Basi waacheni Chadema wafanye mikutano ya siasa bila bugdhaKwa hii kasi ya maendeleo aliyonayo Magufuli bila shaka kwa sasa karibia asilimia 90 ya watanzania wote tuko CCM.
analipwa mshahara kwa kodi zetuwananchi alipaswa awe bila upande, sasa anakula kodi yetu anawatumikia ccm?
Basi waacheni Chadema wafanye mikutano ya siasa bila bugdha
Kwani rais nae si analipwa mshahara na kodi za wananchi? mbona ana Chama?analipwa mshahara kwa kodi zetuwananchi alipaswa awe bila upande, sasa anakula kodi yetu anawatumikia ccm?
Ustaarabu ni kusifu na kusujudu juhudi za Dr John Pombe Magufuli?Siku wakikubali kufanya siasa za kistaarabu mbona wataruhusiwa tu.
Siku zote mtu akifanya vizuri kusifiwa ni haki yake.Ustaarabu ni kusifu na kusujudu juhudi za Dr John Pombe Magufuli?
Wengi hatujuhi hata mwenyekiti wa KUB ni ccm damu damu
Anaesifiwa awe pia tayari kukosolewa.Siku zote mtu akifanya vizuri kusifiwa ni haki yake.
Kwa hii kasi ya maendeleo aliyonayo Magufuli bila shaka kwa sasa karibia asilimia 90 ya watanzania wote tuko CCM.
umelipia kodi sh ngapi mwaka huu?analipwa mshahara kwa kodi zetuwananchi alipaswa awe bila upande, sasa anakula kodi yetu anawatumikia ccm?