Mahmetkid
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 732
- 441
Kwa mtazamo wangu haiwezekani ukawa na mahusiano na mke wa mtu husigundue mwanzoni tu mwa mahusiano yenu, kwa ajili wewe umesema ni mwanafunzi kama na yeye ni mwanafunzi pia hapa naweza kukuelewa, kwamba yupo chuoni na wewe hupo chuoni na mupo free muda wote.
Kama yeye ni mtumishi wa afya hapo Dodoma na wewe ni mwanafunzi, unatakiwa kujifanyia tathimini wewe mwenyewe ni kwa jinsi gani hupo kwenye mahusiano na mke wa mtu ndani ya miezi saba bila kugundua (utakuwa na matatizo somewhere).
By the way ushauri wangu achana nae huyo mama, mwisho wenu hauta kuwa nzuri, especially kwako wewe pindi mumewe atakapo kubaini unammega mke wake.
Kama yeye ni mtumishi wa afya hapo Dodoma na wewe ni mwanafunzi, unatakiwa kujifanyia tathimini wewe mwenyewe ni kwa jinsi gani hupo kwenye mahusiano na mke wa mtu ndani ya miezi saba bila kugundua (utakuwa na matatizo somewhere).
By the way ushauri wangu achana nae huyo mama, mwisho wenu hauta kuwa nzuri, especially kwako wewe pindi mumewe atakapo kubaini unammega mke wake.