Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Nasubutu kusema bulaza ww ndo huna akili jinga na kubwa jinga kabisa ,mpk umri huo hujui mwanamke kutongozwa ndo jadi?????? Wapi kauza K kwenye maelezo yako ulichokifanya umemtongoza kwa kisu kikali na maneno ya uongo kwa nn asijae ???? Kwa ulivyomdanganya hata angekuwa mke wa Nani angejaa tu ,KIUFUPI ACHA MAMBO YA KIVULANA BULAZA kama mtoto katulia huoni ishu yoyote anakupa respect za kutosha jaribu kuwa Mwanaume basi!Salaam wanaJF.
Ninademu wangu tupo kwenye mahusiano ni mwaka sasa, tunapendana sana na ananipenda kinoma, hakuna ishara yoyote ya usaliti kwangu,
Pisi kali, shepu kali ni mtulivu anajiheshimu na tumepanga kuoana mwakani na adi kwao natambulika na mipango iyo ni mwakani.
Sasa wiki iliyopita nikaona hapana kwa huu utulivu ivi ndivyo alivyo au anauasi nyuma ya pazia maana hana ishara ya kuchepuka japo simu yake uwa anaiweka password ngumu kinoma, nikatengeneza account ya Facebook nikachukua picha za jamaa angu wa mkoani ni handsome na mtu wa viwanja vikali, mtu wa kubadirisha magari tu, nikaziweka picha zake kadhaa nikamfriend request mchumbaangu akaAccept, tukachart kama siku mbili kisha nikamtongoza hajachomoa demu akakubari safi tu, nikatafuta laini mpya kisha nikaDownload app ya kubadirisha sauti nikawa naongea nae adi usiku tunachart whatsapp kisha nikamdanganya mim naishi mtaa wa nne kutoka kwao ila nikamwambia nimesafiri mara moja ila ijumaa narudi,
Nikampromise namletea zawadi ya simu ya Samsung brand new na viatu, nikachukua clip fupi ya samsung unboxing yan akapagawa , akafurahi sana na mabusu mengi mengi, nikamuomba picha zake za uchi akapiga akanitumia zakutosha, kiufupi ni kwamba mahaba yakawa yamekolea nazi haswaa tena kwa mtu ambaye hamjui wala hajawai ata kuonana nae ila anamtumia picha za uchi adi K yote kaipiga picha kanitumia. “inaniumiza kichwa lakin nataka niuone mwisho wake huo kesho"
Tumepanga mengi ya maisha adi tupelekane kwao ndani ya wiki na nusu tu kaingia kingi mazima uyu mpenz wangu wa moyo tena kwa mtu hasiyemjua,
Tumepanga tukutane kwenye Guest house fulani ivi iyo ijumaa tuikule mbususu ameniambia fresh na anahamu ya kulionja dushe langu na amenipa ahad nyingi sana za kunipa penz tamu. Sasa nataka nimchezee mchezo japo inaumiza moyo,
nimeshaenda kumpanga na jamaa wa kwenye iyo gest kwamba tucheze mchezo demu nitampigia simu anapokuja nitamwambia aje chumba namba fulani mlango upo wazi, yan anapoingia tu jamaa azime umeme kwenye main switch kuwe giza totoro alaf baada ya dakika maybe 15 awashe ,
Kabla ya yote tumepanga mim na uyu demu kwamba akifika tu tuanze na romance moja kwa moja kabla ya salamu, sasa mim nitamuanza na romance adi nimle kabisa adi umeme unapowaka akute kumbe yule mpenz wake mpya wa Facebook sio kumbe ni mim mpenz wake ninayetarajia kumuoa na kwao nimetambulishwa na huduma zote namfanyia, .
Wakuu hii situation inaniumiza moyo na sijui kama Dushe litasimama lakin nitaliinua na K-vant mojamoto..
WAKUU ILO TUKIO NALIFANYA KESHOKUTWA NIOMBEENI WAKUU..