Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Nawashukuru wote walionyesha upendo kwangu, na kunianzishia special Thread for me, thanx!. Shukrani za dhati zimwendee Nyivonduma sir, na wengineo ambao walinipa support nzuri wakati nilipokuwa jamvini kama Yo Yo, Ngoshwe na wengineo.
Niliamua kukaa kimya kwa sababu mimi sipendi ugomvi jamani, maana na kuna watu wana roho..... kama Kingi na tripu999 hawapendi kuniona hapa, hawataki kuzikabili changamoto zilizokuweko katika jamii yetu, sina zaidi mbarikiwe!!
JF iko Juu ALWAYS
Niliamua kukaa kimya kwa sababu mimi sipendi ugomvi jamani, maana na kuna watu wana roho..... kama Kingi na tripu999 hawapendi kuniona hapa, hawataki kuzikabili changamoto zilizokuweko katika jamii yetu, sina zaidi mbarikiwe!!
JF iko Juu ALWAYS