Android 00
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 774
- 221
Kuanzia jana usiku mmoja tuu baada ya uvunjaji na uondoshaji wa vibanda vya biashara ndogondogo zenye kuleta watu wa aina tofauti mjini wengi wao wakiwa ni majambazi ambao wanaochunguza maduka yanayofanya biashara,wateja jana usiku viliteketezwa na mji umekuwa safi na wenye mandhari ya kuvutia
Nilikua najaribu kujiuliza kila siku Serikali iko likizo? Wanaofanya biashara na walipaji wa kodi wako kwenye usumbufu mkubwa ambao wanaupata kutoka kwenye hawa wasiokuwa rasmi.
Hawa wanaweka meza mbele ya duka kubwa la mfanyabiasha wakielezwa kuondosha wanasema hi sehemu ni barabarani kwaiyo wanaweza kuendelea kufanya biashara na serikali imewaruhusu kwakua mwakani ni uchaguzi wakiwa watasumbuliwa hawatoipigia kura CCM
Maduka wanalipa kodi, leseni, usafi,walinzi, wao wanafanya biashara bila ya kulipia chochote na cha zaidi ni ambacho kinasikitisha ni hichi cha kushirikiana na majambazi
Serikali yetu tunaamini kama watakusudia hawatoshindwa,tuisapmt kwa udhibiti huu na ule wa bodaboda ambao ni wa njia rahis ya kkufanya ujambazi.
Tunaiomba serikali Operesheni hii iwe endelevu sisi wananchi tunahitaji kuishi na kutembea kwa amani.
Hongera Mkuu wa Mkoa wa Dar
Meya wa Mji Dar
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar
Nilikua najaribu kujiuliza kila siku Serikali iko likizo? Wanaofanya biashara na walipaji wa kodi wako kwenye usumbufu mkubwa ambao wanaupata kutoka kwenye hawa wasiokuwa rasmi.
Hawa wanaweka meza mbele ya duka kubwa la mfanyabiasha wakielezwa kuondosha wanasema hi sehemu ni barabarani kwaiyo wanaweza kuendelea kufanya biashara na serikali imewaruhusu kwakua mwakani ni uchaguzi wakiwa watasumbuliwa hawatoipigia kura CCM
Maduka wanalipa kodi, leseni, usafi,walinzi, wao wanafanya biashara bila ya kulipia chochote na cha zaidi ni ambacho kinasikitisha ni hichi cha kushirikiana na majambazi
Serikali yetu tunaamini kama watakusudia hawatoshindwa,tuisapmt kwa udhibiti huu na ule wa bodaboda ambao ni wa njia rahis ya kkufanya ujambazi.
Tunaiomba serikali Operesheni hii iwe endelevu sisi wananchi tunahitaji kuishi na kutembea kwa amani.
Hongera Mkuu wa Mkoa wa Dar
Meya wa Mji Dar
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar