mkuu mimi nilistaajabu coz haya mambo tumekua tukisimuliwa tu kua yalikuwepoMind your business. Culture is totality peoples ways of life
Duh!.we jamaa nae nyuzi zako!. Inaonekana upo involved na superstition . Mana kwa muda mfupi nlokufahamu threads zako nyingi ni za kishirikina tu.
By the way hilo eneo ni kigoma sehem gani?
mapito ya mwanadam yana mambo mengi mkuu, nadhani hata wewe ukiamua kupost baadhi ya mapito yako kuna baadhi watakuchukulia tofauti kama ulivofanya wewe kwangu...Duh!.we jamaa nae nyuzi zako!. Inaonekana upo involved na superstition . Mana kwa muda mfupi nlokufahamu threads zako nyingi ni za kishirikina tu.
By the way hilo eneo ni kigoma sehem gani?
Maendeleo yapi hayo unayo maanisha ?Wachawi sana watu wa maeneo hayo, na ndio maana vigumu kupata maendeleo.