share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,461
Tumuweke kwenye kundi gani huyu anayejipambanua kama jasusi mbobezi? Tukimuita laghai wa kisiasa tutakosea?
Majuzi ameita press conference na kujinadi eti atafunga bao la dakika 89!!! Hivyo hilo bao ni watu kuiangalia sura yake!?! Mbona hatumsikii wala kumuona jukwaani?
Mgombea gani wa Urais asiyejinadi yeye mwenyewe, wabunge wake, madiwani wake wala kushirikiana na viongozi wa chama chake? Anatafuta Urais binafsi au unaodhaminiwa na chama? Mhe. Membe, mbona husomeki?
Majuzi ameita press conference na kujinadi eti atafunga bao la dakika 89!!! Hivyo hilo bao ni watu kuiangalia sura yake!?! Mbona hatumsikii wala kumuona jukwaani?
Mgombea gani wa Urais asiyejinadi yeye mwenyewe, wabunge wake, madiwani wake wala kushirikiana na viongozi wa chama chake? Anatafuta Urais binafsi au unaodhaminiwa na chama? Mhe. Membe, mbona husomeki?