Kumbe mataifa ya afrika yalienda Urusi kuonyeshwa siraha mpya, nilidhani walienda kujua teknolojia ya kututoa kwenye umaskini kumbe silaha za kivita

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Ivi waafrika tuna laana? Ivi kweli kongamano ukiondoa kusinzia ndani ya kumbi na kuwa active kwenye maonyesho ya silaha linamaana gani ivi sie waafrika tumerogwa au tumejiroga wenyewe.

Lengo la mrusi halina tofauti na lengo la mataifa ya magharibi na china. Wao wako kwa ajiri ya silaha na kuiba mali za afrika.

Na lengo kubwa la mataifa ya afrika ni kubaki madarakani kama siyo rais muhusika basi chama chake. Ivyo lazima wahakikishiwe ulinzi na siraha lakini sio kuangalia teknolojia na kuiba na kuileta afrika.
FB_IMG_1572066055795.jpg


Mataifa mengi ya nje wanaweka ukaribu na watawala na kuhakikishiwa ulinzi lakini huwa hawako kuwahakikishia elimu, afya, teknolojia kwa mataifa yao. Zaidi ulinzi wa silaha na zaidi nchi za afrika zimekuwa majaribio ya siraha zao sio makwao


FB_IMG_1572066051130.jpg
FB_IMG_1572072365336.jpg
FB_IMG_1572072359282.jpg
FB_IMG_1572072353293.jpg
 
Ivi waafrika tuna laana? Ivi kweli kongamano ukiondoa kusinzia ndani ya kumbi na kuwa active kwenye maonyesho ya silaha linamaana gani ivi sie waafrika tumerogwa au tumejiroga wenyewe.

Lengo la mrusi halina tofauti na lengo la mataifa ya magharibi na china. Wao wako kwa ajiri ya silaha na kuiba mali za afrika.

Na lengo kubwa la mataifa ya afrika ni kubaki madarakani kama siyo rais muhusika basi chama chake. Ivyo lazima wahakikishiwe ulinzi na siraha lakini sio kuangalia teknolojia na kuiba na kuileta afrika.View attachment 1244987

Mataifa mengi ya nje wanaweka ukaribu na watawala na kuhakikishiwa ulinzi lakini huwa hawako kuwahakikishia elimu, afya, teknolojia kwa mataifa yao. Zaidi ulinzi wa silaha na zaidi nchi za afrika zimekuwa majaribio ya siraha zao sio makwao


View attachment 1244989
Mkuu kwani ulikuwa unategemea nini wakati huu wa the second scramble for Africa? Utasikia China imewaita viongozi wa Africa, kesho Uingereza imewaita, keshokutw Urusi, nk. Hiyo yote ni katika juhudi za kumegeana Africa. Si ajabu kwamba hata rushwa/mlungula/hongo/takrima huwa ni miongoni mwa vikolombwezo vya makaribisho.
Africa yetu inaenda halijojo, tukeshe tukiomba.
 
Hawajui wameenda kwa mtu mwenye roho ngumu kuomba urafiki nae.
Ivi waafrika tuna laana? Ivi kweli kongamano ukiondoa kusinzia ndani ya kumbi na kuwa active kwenye maonyesho ya silaha linamaana gani ivi sie waafrika tumerogwa au tumejiroga wenyewe.

Lengo la mrusi halina tofauti na lengo la mataifa ya magharibi na china. Wao wako kwa ajiri ya silaha na kuiba mali za afrika.

Na lengo kubwa la mataifa ya afrika ni kubaki madarakani kama siyo rais muhusika basi chama chake. Ivyo lazima wahakikishiwe ulinzi na siraha lakini sio kuangalia teknolojia na kuiba na kuileta afrika.View attachment 1244987

Mataifa mengi ya nje wanaweka ukaribu na watawala na kuhakikishiwa ulinzi lakini huwa hawako kuwahakikishia elimu, afya, teknolojia kwa mataifa yao. Zaidi ulinzi wa silaha na zaidi nchi za afrika zimekuwa majaribio ya siraha zao sio makwao


View attachment 1244989
 
Kuna nyumbu mwenzenu alifungua thread humu akisema marais wenye kukitambua wameenda urusi,mtafute mumtag thread yenu hii
 
Kipaumbele chetu ni kuua upinzani,hivyo silaha ni muhimu kuliko elimu.
Acha kua mwehu wewe ...

huo upinzani unaoutaka umeshapatikana kule sudani kisini na tena wamemegewa kipande chao cha ardhi wajitawale wenyewe vipi wameacha kuuana?
 
Ivi waafrika tuna laana? Ivi kweli kongamano ukiondoa kusinzia ndani ya kumbi na kuwa active kwenye maonyesho ya silaha linamaana gani ivi sie waafrika tumerogwa au tumejiroga wenyewe.

Lengo la mrusi halina tofauti na lengo la mataifa ya magharibi na china. Wao wako kwa ajiri ya silaha na kuiba mali za afrika.

Na lengo kubwa la mataifa ya afrika ni kubaki madarakani kama siyo rais muhusika basi chama chake. Ivyo lazima wahakikishiwe ulinzi na siraha lakini sio kuangalia teknolojia na kuiba na kuileta afrika.View attachment 1244987

Mataifa mengi ya nje wanaweka ukaribu na watawala na kuhakikishiwa ulinzi lakini huwa hawako kuwahakikishia elimu, afya, teknolojia kwa mataifa yao. Zaidi ulinzi wa silaha na zaidi nchi za afrika zimekuwa majaribio ya siraha zao sio makwao


View attachment 1244989

Reading between the lines unaonekana wazi wazi lengo lako ni just to get even na ruling party, haya mambo ya kuwasema vibaya Wafrika wenzako walio kwenda kwenye kongamano la kiuchumi Urusi hizo ni geresha tu kwa kuwa huna ubavu kudhilisha nia yako has a. Ndio maana hapa unajitia kuwaponda waswahili wenzako kupoteza lengo tu unafikiri Watanzania are that naïve!!

Labda nikuhoji swali dogo tu: Hivi umesikiliza vizuri speech ya Rais Putin, je, alikuwa anazungumza kuhusu masuala gani - tuonyeshe video clip inayo sema Urusi iliwalika viongozi wa Afrika kuzungumzia kuhusu uuzwaji wa silaha na sio masuala ya ukuzaji wa Uchumi kati ya Bara la Afrika na Urusi.

Inasikitisha sana nikiona Waswahili wenzagu wanageuka mavuvuzela kwa kuendeleza propaganda za Mataifa ya magharibi kuhusu Urusi na Uchina, please revisit your skewed comments, one gets an impression ulicopy na ku-paste USA Govt propaganda handouts geared to demonize Russia - unajikuta unatumika kueneza propaganda za Nchi za magharibi directly or indirectly - what a shame?
 
watetezi wa mabeberu nini kinachowashangaza leo. hayo ndiyo matakwa ya mabwana zenu.

Tukiwaambia hao mabwana hawana jema kwetu huwa hamtaki kuamini.

jambo la kusikitisha zaidi wanasiasa wa upinzani hawachi kukimbilia huko kila mara wanapoharibu hapa nyumbani, who knows wanachokwenda kufundishwa huko.

Kuna mmoja mwaka wa pili huu yuko huko, mwingine safari za huko hazikauki. napata mashaka sana na wnasiasa wetu wa vyama vya upizani.
 
Reading between the lines unaonekana wazi wazi lengo lako is just to get even na ruling party, haya mambo ya kuwasema vibaya Wafrika wenzako walio kwenda kwenye kongamano la kiuchumi Urusi - hapa unajitia kuwaponda waswahili wenzako kupiteza lengo tu unafikiri Watanzania are that naïve!!

Labda Niki hoji swali dogo tu: Hivi unedikiliza vizuri speech ya Rais Putin, je, alikuwa anazungumza kuhusu masuala gani - tuonyeshe video clip inayo Sema Urusi iliwalika viongozi wa Afrika kuzungumzia kuhusu uuzwaji wa silaha na sio masuala ya ukuzaji was Uchumi kati ya Bara la Afrika na Urusi.

Inasikitisha nikiona Waswahili wenzagu wanageuka vuvuzela kwa kuendeleza propaganda za Mataifa ya magharibi kuhusu Urusi na Uchina, please revisit your skewed comments, one gets an impression ulicopy na ku-paste USA Govt propaganda handouts - unajikuta unatumika kueneza propaganda za Nchi za magharibi directly or indirectly what a shame?
Unawajuwa vizuri Warusi? Hasa familia tajili ya Putin?
 
watetezi wa mabeberu nini kinachowashangaza leo. hayo ndiyo matakwa ya mabwana zenu.

Tukiwaambia hao mabwana hawana jema kwetu huwa hamtaki kuamini.

jambo la kusikitisha zaidi wanasiasa wa upinzani hawachi kukimbilia huko kila mara wanapoharibu hapa nyumbani, who knows wanachokwenda kufundishwa huko.

Kuna mmoja mwaka wa pili huu yuko huko, mwingine safari za huko hazikauki. napata mashaka sana na wnasiasa wetu wa vyama vya upizani.
Acha kubwabwaja wewe kwa nini mlimruhusu waziri mkuu aende huko? Nae kawa mpinzani? Nyumba yenyewe imejaa nja kujilisha hamuwezi msaada mnautaka wakiwa mbali mnawatusi mkiwakaribia mnawachekea na kuwapa mikono ya kuwakaribisha, hakuna dhambi mbaya kama unafiki.
 
Back
Top Bottom