Ni wapi kataja jina la Master kua uwa anampiga?Hii habari haijatrend, I bet ni kwasababu ya kinge....
Nimeshtushwa kidogo maana nilijua Master J ana uzungu uzungu kumbe mataptap tu
Hii habari haijatrend, I bet ni kwasababu ya kinge....
Nimeshtushwa kidogo maana nilijua Master J ana uzungu uzungu kumbe mataptap tu
Hii habari haijatrend, I bet ni kwasababu ya kinge....
Nimeshtushwa kidogo maana nilijua Master J ana uzungu uzungu kumbe mataptap tu
Ha ha ha ha mkuu siunavunga tu kibao chako ni sawa na ngumi ujueKuna muda mwanamke ndani anakuchokonoa Hadi unakosa plan b ya kumuepuka,unajikuta kibao kimeshakutoka
Mwanzo nilikuwa nalaumu sn mwanaume anayepiga mkewe ndani,Ila kuna siku nilijibiwa jibu la kishenzi sikuwa na namna ikanitoka kerbu
Mkuu Unforgettable kuna muda unajikuta huna jinsiJuzi Tu hapo jmosi nimetoka mjini kuna kitu nilienda kumnunulia bila kumuaga naenda wapi,nikachelewa kurudi kidogo...
Una Matatizo pia kama hamuaminia ndio mambo kama hayo hutokea , pia kwanini uumie wakati sio kweliJuzi Tu hapo jmosi nimetoka mjini kuna kitu nilienda kumnunulia bila kumuaga naenda wapi,nikachelewa kurudi kidogo...
Hilo ni kosa la kitoto kumpiga makofi. Wivu mdogo sana huo unaweza ukabili kidemokrasiaJuzi Tu hapo jmosi nimetoka mjini kuna kitu nilienda kumnunulia bila kumuaga naenda wapi,nikachelewa kurudi kidogo...
Huwajui wanawake mkuu,Wana majibu ya ajabu snHilo ni kosa la kitoto kumpiga makofi. Wivu mdogo sana huo unaweza ukabili kidemokrasia
Wanawake mna majibu mabovu samtaimz..mnaudhiUna Matatizo pia
Kama hamuaminia ndio mambo kama hayo hutokea , pia kwanini uumie wakati sio kweli
You can not rationalize the action of a man hitting a woman, blood.Kuna muda mwanamke ndani anakuchokonoa Hadi unakosa plan b ya kumuepuka,unajikuta kibao kimeshakutoka
Mwanzo nilikuwa nalaumu sn mwanaume anayepiga mkewe ndani,Ila kuna siku nilijibiwa jibu la kishenzi sikuwa na namna ikanitoka kerbu
Kweli mkuu, kunasiku wife yaani anakataa kumnyonyesha dogo, namuuliza kwanini hataki akanijibu mnyonyeshe na wewe kama unaona raha, alikula banzi ambalo hatakuja sahauKuna muda mwanamke ndani anakuchokonoa Hadi unakosa plan b ya kumuepuka,unajikuta kibao kimeshakutoka
Mwanzo nilikuwa nalaumu sn mwanaume anayepiga mkewe ndani,Ila kuna siku nilijibiwa jibu la kishenzi sikuwa na namna ikanitoka kerbu
Well done mkuuJuzi Tu hapo jmosi nimetoka mjini kuna kitu nilienda kumnunulia bila kumuaga naenda wapi,nikachelewa kurudi kidogo.
Akaniandikia meseji ya ajabu Hadi sn "yaani wewe mwanaume Hadi mshahara uishe ndy utatulia nyumbani,sasa hivi ushaenda Kwa michepuko yako". Isivyo bahati meseji inaingia nami ndy nafika nyumbani,nikaweka mzigo wake mezani akachezea vibao kadhaa kisha akaniomba msamaha kwamba hakujua km nimeenda huko
Kwa wale wenye kukaa na wanawake wanaelewa kbs jinsi wanawake wanavyozingua,Mimi simlaumu kbs master J km anampiga mkewe,maana kauli umetoka upande mmoja wa mwanamke,ingawa naye hayupo direct