Miki123
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 288
- 502
Kama unadhani Marekani huwa hafurahishwi na makombora ya korea kaskazini basi jua unajidanganya. Makombora ya korea kaskazini yamekuwa ni mtaji mkubwa wa marekani kuishurutisha korea kusini kulipa kiwango kikubwa cha pesa kwa ajili ya ulinzi.
Hivi karibuni Ikulu ya marekani imeitaka korea kusini kulipa kiasi cha dola billion 4 kama tozo ya ulinzi, iki kiasi korea kusini iliona ni kikubwa na kuomba kulipa $1 bil ila trump kagoma.
Lakini pia kuna ripoti serikali ya korea kusini imelazimishwa na USA kupeleka vifaa vya kujikinga na CORONA
Chanzo: Korea-US defense cost-sharing remains unresolved
Imefika hatua mkuu wa majeshi ya US Korea Kusini anaitania serikali ya Korea Kusini kupitia twitter.
Kwa hiyo hawa jamaa hata kuungana iwe nchi moja ni ngumu.
Dikteta Park chung hee aliyeifanya korea kusini kuwa nchi yenye uchumi mkubwa alijaribu kuzungumza na Dikteta mwenzie wa kaskazini Kim il sung kuhusu muungano na kukubaliana kuwa muungano usiushe nchi zingine, Marekani alikasirika na mwaka 1979 dikteta park chung hee aliuliwa kwa kupigwa risasi na mtu wake wa karibu kabisa.
Ikumbukwe kuwa Korea Kusini imekuwa ikiongozwa kwa mkono wa chuma mpaka miaka ya 1990 ambapo demokrasia ndio ilianza.
Marekani huwa anaichokoza Korea kaskazini kwa kufanya mazoezi ya kuivamia, ili Kim Jung Un atest mitambo ambayo huwapa korea kusini wasiwasi.
Pamoja na kwamba Korea Kusini haikuwahi kuwekewa masharti ya kutokuwa na jeshi na kuwa na uchumi mkubwa lakini ni nchi dhaifu sana kijeshi mbele ya Korea kaskazini.
Hii ndio ambayo US huitumia kuikamua vilivyo Korea Kusini pesa ya ulinzi.
Hivi karibuni Ikulu ya marekani imeitaka korea kusini kulipa kiasi cha dola billion 4 kama tozo ya ulinzi, iki kiasi korea kusini iliona ni kikubwa na kuomba kulipa $1 bil ila trump kagoma.
Lakini pia kuna ripoti serikali ya korea kusini imelazimishwa na USA kupeleka vifaa vya kujikinga na CORONA
Chanzo: Korea-US defense cost-sharing remains unresolved
Imefika hatua mkuu wa majeshi ya US Korea Kusini anaitania serikali ya Korea Kusini kupitia twitter.
Kwa hiyo hawa jamaa hata kuungana iwe nchi moja ni ngumu.
Dikteta Park chung hee aliyeifanya korea kusini kuwa nchi yenye uchumi mkubwa alijaribu kuzungumza na Dikteta mwenzie wa kaskazini Kim il sung kuhusu muungano na kukubaliana kuwa muungano usiushe nchi zingine, Marekani alikasirika na mwaka 1979 dikteta park chung hee aliuliwa kwa kupigwa risasi na mtu wake wa karibu kabisa.
Ikumbukwe kuwa Korea Kusini imekuwa ikiongozwa kwa mkono wa chuma mpaka miaka ya 1990 ambapo demokrasia ndio ilianza.
Marekani huwa anaichokoza Korea kaskazini kwa kufanya mazoezi ya kuivamia, ili Kim Jung Un atest mitambo ambayo huwapa korea kusini wasiwasi.
Pamoja na kwamba Korea Kusini haikuwahi kuwekewa masharti ya kutokuwa na jeshi na kuwa na uchumi mkubwa lakini ni nchi dhaifu sana kijeshi mbele ya Korea kaskazini.
Hii ndio ambayo US huitumia kuikamua vilivyo Korea Kusini pesa ya ulinzi.