Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,289
- 92,351
Njaa mbaya kilichotokea jana uwanja wa Taifa wakati mechi ya fainali kati ya Tanganyika na Ivory Coast kinachekesha au CCM iliamua kututhibitishia kivitendo kwamba they mean bussiness.
Kituko ni kwamba tumetangaziwa Maalim ndio mgeni rasmi lakini cha kushangaza tuzo zote pamoja na kukabithi kombe ilo jukumu alilifanya LUKUVI, swali je kiprotokali LUKUVI ni mkubwa kuliko Maalim?
NATOA HOJA.
Kituko ni kwamba tumetangaziwa Maalim ndio mgeni rasmi lakini cha kushangaza tuzo zote pamoja na kukabithi kombe ilo jukumu alilifanya LUKUVI, swali je kiprotokali LUKUVI ni mkubwa kuliko Maalim?
NATOA HOJA.