Utoa Uzi huu kama una ofisi itakayomfaa Mtumbuliwa mpe kazi.Lakini,mwenye kazi ndiye achagua amtakaye kumtuma.
Msanii mmoja hapa nchi alimhasa Mjomba wake kuwa,"akiwa ndani kwake,ajihadhari Samaki Nguru asimle wala kumgusa kwani harufu ya shombo yake haitakasiki asilaani"
Mtumbuliwa sio tu Amemla Nguru ama kamgusa bali alim'beba kumpeleka Sokoni.
Utambue,duniani hatutakiwi kuwa Takatifu,baliWaadilifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msanii mmoja hapa nchi alimhasa Mjomba wake kuwa,"akiwa ndani kwake,ajihadhari Samaki Nguru asimle wala kumgusa kwani harufu ya shombo yake haitakasiki asilaani"
Mtumbuliwa sio tu Amemla Nguru ama kamgusa bali alim'beba kumpeleka Sokoni.
Utambue,duniani hatutakiwi kuwa Takatifu,baliWaadilifu.
Sent using Jamii Forums mobile app