Kumbe Lengo la Jumuia ya Afrika Mashariki ni ardhi yetu! Sitta aweka ngumu Kenya, wamnanga

mpayukaji

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
940
349
Kenya na nchi nyingine za Jumuia ya Afrika Masharika hawana raha na Samuel Sitta na Tanzania kwa ujumla. Hii ni baada ya kuwawekea ngumu kuingiza suala la ardhi kwenye jumuia. Taarifa toka kwenye vyombo vya habari zimeonyesha chuki kiasi cha kuanza kutafuta pa kushika kuiadhiri Tanzania ionekane kama mnafiki. Maana kichwa cha habari kinasema kuwa Tanzania inahubiri maji na kunywa mvinyo. Tulishaonya kuwa hakuna mantiki ya kuwa na muungno wa Afrika Mashariki wakati nchi zote isipokuwa Tanzania hazina ardhi na zina idadi kubwa ya watu. Chukulia mfano Kenya ambayo ni chini ya nusu ya Tanzania ina idadi ya watu sawa na Tanzania. Kama ni kuungana heri tuungane na Msumbuji na Zambia lakini si nchi zisizo na raslimali wala ardhi. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.
 
Habari uliyoandika haiambatani na kwenye gazeti; na Kenya sio Nusu ya Tanzania; habari iliyoandikwa ni hii hapa chini
Haikuzungumzia Jinsi Wakenya au East Africans wanavyoitaka Ardhi ya Tanzania; wanazungumzia Jinsi wananchi masikini wanavyodhulimiwa Ardhi Tanzania na Wajanja Investors na Sitta hawezi kuguarantee ardhi kwa hao wananchi wake

The report says land disputes pitting poor villagers against powerful investors are now at more than 1,000 every year.

According to the institute's executive director Yefred Myenzi, on average there are five land disputes daily in Tanzania and, three out of five involve powerful investors.

In this context Mr Sitta's call should come in for closer scrutiny given the famously protective country cannot guarantee the interests of its locals.
 
Ushauri wa Tanzania kuhakikisha watu wake wana ardhi ni mzuri ila ukilinganisha na tatizo kama hilo nchini Kenya kusema ukweli ni ile hali ya nyani haoni nonihino lake. Otherwise kichwa cha habari kwenye ile habari kinatosha kueleza kilichopo nyuma ya pazia. Hebu pigilia mstari maneno haya: Mr Sitta was quoted by the state-owned daily as saying that there were all sorts of "dirty tricks" being employed in order to drag the land issue into the EAC treaty.
 
Habari uliyoandika haiambatani na kwenye gazeti; na Kenya sio Nusu ya Tanzania; habari iliyoandikwa ni hii hapa chini
Haikuzungumzia Jinsi Wakenya au East Africans wanavyoitaka Ardhi ya Tanzania; wanazungumzia Jinsi wananchi masikini wanavyodhulimiwa Ardhi Tanzania na Wajanja Investors na Sitta hawezi kuguarantee ardhi kwa hao wananchi wake

The report says land disputes pitting poor villagers against powerful investors are now at more than 1,000 every year.

According to the institute's executive director Yefred Myenzi, on average there are five land disputes daily in Tanzania and, three out of five involve powerful investors.

In this context Mr Sitta's call should come in for closer scrutiny given the famously protective country cannot guarantee the interests of its locals.

Mbona umechukua sehemu iliyokufurahisha tu au hii uliyoacha haina maana? Au wewe ni mkenya nini? Haya nimekurahisishia uisome tena, hasa paragraph ya mwisho..
The prospect of "foreigners" (Read entrepreneurial Kenyans) owning land in the country due to the opening up of the region by treaties governing the bloc has been highly sensitive, and indeed Mr Sitta was quoted by the state-owned daily as saying that there were all sorts of "dirty tricks" being employed in order to drag the land issue into the EAC treaty.

Speaking in Dar es Salaam at an induction seminar for newly-elected Tanzania members to the East African Legislative Assembly, Mr Sitta claimed land was a key target and urged the legislators to guard the national interests of their country.
 
hili suala la ardhi tunatakiwa tukabiliane nalo kisayansi na kisheria zaidi kuliko kisiasa kama anavyo fanya waziri wetu, haitoi picha ya kimtazamo wa kimaendeleo.
solution ya kwanza ni kuwaambia wenzetu kwa kuwa ardhi ni ya serikali , mtu akitaka ardhi kwa shughuli za kiuchumi basi aoitie mamlaka husika na kukodishwa hiyo ardhi kwa rent tutakayo mpa sisi , na ikihitajika majengo ya kudumu basi yatajengwa na serikali na huyo investor kazi yake ni ukodishaji, ya pili ni kuwaambia wenzetu kwamba kabla ya kwenda mbele tunahakiki ardhi kwani kuna watanzania wanaishi sehemu hizo hivyo kuna ardhi ya kijiji, ya kiukoo nk, na mwisho ni kurudisha jkt ambayo ilimiliki mashamba makubwa tu ,badala ya kuacha ardhi nyingi bila kutumika, hivyo wenzetu kutuona tuna choyo tu, hili la jkt litasaidia pia kuondoa hawa vijana wazururaji wa vijiweni kila kija asiye na kazi maalumu, basi sehemu yake ya maisha iwe huko jkt akazalishe, apate malazi na chakula na kujifunza jinsi ya kujitegemea akitoka huko. basi anaweza kuwa mkulima mzuri wa mazao mbali mbali pamoja mboga mboga . hivyo waziri husika apeleke hoja kwenye baraza la mawaziri kufanya hili ninalo pendekeza akishirikiana na wizara ya ardhi, sheria na kadhalika
 
Hata siku moja hatuwezi kukubali suala la aridhi likawa la EAC, bado tunaangaika na hawa wawekezaji wanaopewa aridhi yetu kinyemela tuongeze tena mzigo mwingine.
 
Wakati wakipigana kwa swala la ardhi, kuna wakenya na waburundi wengi wamehodhi ardhi yetu. Nilikuwa namtafutia mtoto wangu kindergaten, nikapata kindergaten moja nzuri na kubwa na hapo hapo nikaambiwa mmiliki anataka kujenga shule hapo pembeni ukiangalia eneo ni kama hekari 4 hadi tano. Sasa niulize eneo liko wapi, eneo liko karibu kabisa na ubungo external ila kwa ndani kidogo. Nikaambiwa mmiliki ni Mkenya jamani nilichoka nikasema hapa hatujaweka swala la ardhi kwenye muungano likiwepo ndo watachukua kila kitu. Serikali ya mafisadi yaani wanafanya uozo ndani ya nchi yetu. Ila ninauhakika CHADEMA wakishika dola na kwa kuwa wananchi wengi wanaridhika na hiki chama maana kinafanya kazi karibu sana na wananchi vitu kama hivi ni lazima tuviandikie report hata kama huna cheo popote na kuviwakilisha kwa baba yetu mpendwa Dr Slaa avifanyie kazi na chama chake. Peoples powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
Back
Top Bottom