kumbe kweli

upele

JF-Expert Member
Mar 3, 2010
364
31
siku hizi majimama wanawapenda vijana why kama jimama huyu aliesema simuachi labda afe siwahi kuona hivi kwanini wanajamii inakuwa hivyo
 
kwa sababu ileile iliopelekea vijana nao wawa pende majimama.HUDUMA
 
siku hizi majimama wanawapenda vijana why kama jimama huyu aliesema simuachi labda afe siwahi kuona hivi kwanini wanajamii inakuwa hivyo
Ndo manake ndugu yangu Upele, hii inadhiirisha ni jinsi gani walivyokata tamaa na maisha kutoka na mabehaviour ya waume zao kutowaridhisha. Au ulikuwa unamaanisha majimama yalio single...ikiwa hivyo pia, ni kutokana na hao mibaba ya size zao wamekimbilia dogodogo ambapo unakuta na wao wanakosa wakuwaburudisha. Nadhani hata wenyewe ukiingia ndani ya nafsi zao kwa kweli wasingependa kuwa na hao sengereti...hapo nao wamefumba macho kama hawaoni vile.
 
siku hizi majimama wanawapenda vijana why kama jimama huyu aliesema simuachi labda afe siwahi kuona hivi kwanini wanajamii inakuwa hivyo
vijana wa siku hizi wanajua kusebena! acheni majimama wale raha! vijana wa zamani mambo kama haya wayajulie wapi? hivi unaweza kumwambia kijana wa zamani aende uvinza na akakuelewa? hehehe! jibu unalo! ngoja tuendelee kuhudumia mizigo mikubwa mikubwa tu!
 
vijana wa siku hizi wanajua kusebena! acheni majimama wale raha! vijana wa zamani mambo kama haya wayajulie wapi? hivi unaweza kumwambia kijana wa zamani aende uvinza na akakuelewa? hehehe! jibu unalo! ngoja tuendelee kuhudumia mizigo mikubwa mikubwa tu![/QUOTE]

kumbe pape we kitherengeti boi
 
Sio kweki! Ukiona kijana anapeleka moto kwa mdada oversize ujue kuna lulu involved. In order to forgo visichana vibichi ni lazima kuwe kuna gain in the other side.
 
kumbe pape we kitherengeti boi
hahahahaha! jamani jamani wamama wanajua kuhudumia! hasa wenye chapaa! ukiomba kitu lazima atoe kwani anajua unaweza kusitisha huduma dakika yeyote! Hawa wamama wanaponzwa na kitu kimoja! wanapenda kwenda na serengeti zao katika vikao vyao vya starehe sasa huko mara nyingine waga wanazungukana! Mwenzake akipandisha dau basi kuna uwezo wa kuporwa kaserengeti kake. Ndio maana wanakunja sana mshiko! Hehehehehe, acheni serengeti wale maisha!
 
Judith Wambura @ Lady JayDee with Wanaume kama Mabinti. Wamama wengi wenye chapaa waume zao wako bizee na kuongeza chapaa zaidi na kusahau jukumu lao la msingi ktk unyumba. Kama sio kusahau basi shinikizo la kuongeza chapaa linasababisha wawe na uwezo mdogo kukitanda na hapa ndipo THERENGETHI BOI anaingia kugawa huduma maalum ka kwenda uvinza, kuzunguka uwanja zaidi ya mara tano kwa muda mfupi,mzunguko mmoja wa uwanja kuchukua zaidi ya robo saa. Huduma kalikali kama hizi husababisha mmama apagawe na kugawa mapene ya kutosha. Kwa kuwa wanawake hawana siri huwasimulia mashoga zao ambao nao hutaka kuhakiki kama therengethi boi huyo anayaweza. Na hapo ndipo penye utamu. Pamoja na hayo namrudia JUdith Wambura- Wnaume kama mabinti
 
Back
Top Bottom